Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Wapwazi na maguest members nina mdogo wangu mchunga kondoo alipata kifaa alipo kuwa katika harakati za kurudisha kondoo kundini huko Songea na wakaahidiana wataoana. Toka ampate yule binti ilipita miaka kama 2 kisha dogo akaja kwetu kutueleza nia yake hiyo thabiti nasi tukamuunga mkono akaenda Song kuonekana kwa wakwe wakataka mahali laki 5 basi sisi tukajipanga na kuchangishana fedha dogo akaenda kumaliza.
Baada ya taratibu kukamilika dogo akamleta Dar yule binti na ikumbukwe dogo hajawahi mega alikuwa anasisitiza anataka harusi aje ajizindulie yeye mwenyewe. Sasa alipo kuja nae Dar katika harakati za kutambulisha kwa ndugu, jamaa na marafiki wale wenye macho makali kama renzi wakabaini yule binti mjamzito, ikabidi wamwite dogo na kumueleza dogo akawa ana bisha akasema mbona sijawahi mega! wakamshauri aende hospital wakampime lakini dogo hapo hapo aliingia na wasiwasi tokea afike yule binti alikuwa anataka wawe wanalala wote ili dogo amege lakini msimamo wa dogo ulikuwa mkali maana ameiva katika neno basi binti akawa ana lala na ndugu wengine huku yeye akiwa peke yake. Walivyo pima ikabainika binti ana mimba ya miezi 3 dogo alichanganyikiwa sana.
Msaada kwenu wapwazi zile pesa tulizo toa kule 500,000/= tufanyaje kilicho enda kwa mganga kinaweza rudi kweli? maana wakati wanachumbiana alipo tajiwa kiasi kikubwa cha pesa hicho watu tulishtuka tulimshauri sana hakushaurika tukawa hatuna jinsi ni kuchangishana tu.
Ni nn kifanyike wakuu msaada kwenye tuta.
Baada ya taratibu kukamilika dogo akamleta Dar yule binti na ikumbukwe dogo hajawahi mega alikuwa anasisitiza anataka harusi aje ajizindulie yeye mwenyewe. Sasa alipo kuja nae Dar katika harakati za kutambulisha kwa ndugu, jamaa na marafiki wale wenye macho makali kama renzi wakabaini yule binti mjamzito, ikabidi wamwite dogo na kumueleza dogo akawa ana bisha akasema mbona sijawahi mega! wakamshauri aende hospital wakampime lakini dogo hapo hapo aliingia na wasiwasi tokea afike yule binti alikuwa anataka wawe wanalala wote ili dogo amege lakini msimamo wa dogo ulikuwa mkali maana ameiva katika neno basi binti akawa ana lala na ndugu wengine huku yeye akiwa peke yake. Walivyo pima ikabainika binti ana mimba ya miezi 3 dogo alichanganyikiwa sana.
Msaada kwenu wapwazi zile pesa tulizo toa kule 500,000/= tufanyaje kilicho enda kwa mganga kinaweza rudi kweli? maana wakati wanachumbiana alipo tajiwa kiasi kikubwa cha pesa hicho watu tulishtuka tulimshauri sana hakushaurika tukawa hatuna jinsi ni kuchangishana tu.
Ni nn kifanyike wakuu msaada kwenye tuta.