Mdogo wa mariga akaribia kusajiliwa celtic

Achraf Hakimi

JF-Expert Member
Mar 3, 2010
875
1,779


Wakala wa kiungo raia wa Kenya Victor Wanyama amethibitisha kuwa klabu ya Celtic ya Uskochi wamekubali kumsajili mchezaji huyo.
Wanyama ambaye ni mdogo wake kiungo wa Inter Milan MacDonald Mariga amekuwa akizivutiwa klabu kadhaa za ulaya, lakini Celtic wanasemekana kuwa karibu na kukamilisha usajili wa mchezaji huyo.
Wanyama mwenye umri miaka 19 kwa sasa anacheza katika klabu ya Ubelgiji Germinal Beerschot, amekuwa akizivutia klabu nyingi kutokana na uwezo mzuri aliouonyesha katika klabu yake. na sasa wakala Ivan Modia amethibitisha kuwa mchezaji huyo anataka kuhamia Scotland.
Wanyama amecheza michezo 11 katika timu ya taifa, na sasa ameshajitengenezea nafasi ya kudumu ndani ya kikosi cha klabu yake, akicheza michezo 30 na akifunga magoli mawili.
 


Wakala wa kiungo raia wa Kenya Victor Wanyama amethibitisha kuwa klabu ya Celtic ya Uskochi wamekubali kumsajili mchezaji huyo.
Wanyama ambaye ni mdogo wake kiungo wa Inter Milan MacDonald Mariga amekuwa akizivutiwa klabu kadhaa za ulaya, lakini Celtic wanasemekana kuwa karibu na kukamilisha usajili wa mchezaji huyo.
Wanyama mwenye umri miaka 19 kwa sasa anacheza katika klabu ya Ubelgiji Germinal Beerschot, amekuwa akizivutia klabu nyingi kutokana na uwezo mzuri aliouonyesha katika klabu yake. na sasa wakala Ivan Modia amethibitisha kuwa mchezaji huyo anataka kuhamia Scotland.
Wanyama amecheza michezo 11 katika timu ya taifa, na sasa ameshajitengenezea nafasi ya kudumu ndani ya kikosi cha klabu yake, akicheza michezo 30 na akifunga magoli mawili.
Anacheza nafasi gani maana idadi ya magoli imenitisha...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom