Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Asema CCM bado wanazani Watanzania bado wako na fikra za ki-analojia ambapo huwa ni vigumu kupima wapi ni 0 na wapi ni 1. Asisitiza hakuna nidhamu ya kinafiki bungeni. Kama jambo lina status ya 0(siyo) na litamkwe siyo, kama lina status ya 1(ndiyo) na litamkwe ndiyo.
my take: naunga mkono hoja. enzi za kuzungushia (antena) mjini zimeshapita. CCM someni alama na mbadilike. au itakula kwenu soon.
Tusubiri ushahidi wa Mh. Lema.
source: Majira
my take: naunga mkono hoja. enzi za kuzungushia (antena) mjini zimeshapita. CCM someni alama na mbadilike. au itakula kwenu soon.
Tusubiri ushahidi wa Mh. Lema.
source: Majira