Mdada wa kitanzania, Glory Seruhere- Kichwa cha Makerere University 2009

Wabongo kwa ujumla tuna akili sana basi tu kiingereza kinatutia aibu. Safi sana binti.
teh teh teheeeeeeeee we acha tu hii lugha ya mama imekuwa inatupa taabu wa TZ na kututia aibu,dawa ni kukazana kuijua kwa kusoma,kuzungumza na kuandika,pale lugha ya kiingereza inapotumika wengi wa wa TZ hulowa kama vile tumenyeshewa na mvua na hata kama unaelewa ni kitu gani kinatakiwa ,imbombo inakuwa sasa pale unapotakiwa kujieleza lol kijasho chembamba kinatoka na kutamani ardhi ipasuke,jamani tuanze zile shule za akina Maimuna,tutamudu tu,na sasa ndo hao Wa K na W Ug wanakuja wasiwasi wangu tutaishia kuwa ma cleaner na wapika chai au madereva
 
Back
Top Bottom