Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Anajirusha na kigogo mmoja wa CCM, long time sasa.
Hana jina huyo kigogo wa CCM? Field Marshall ES malizia uhondo..
Anajirusha na kigogo mmoja wa CCM, long time sasa.
Fred Mutta or Rugemalira nishasahau jinaJamani kwa sasa anajirusha na yule aliyekuwa mwenye Silent Club pale Mwenge ambaye pia ni muumini mmojawapo wa kanisa lake!
The next question ni je huyu mama RWAKATARE hatotumia nafasi yake kama mchungaji kundeleza UDINI kwenye mamabo ya kiserikali?
Je SHEIKH MBUKUZI au PONDA ISSA PONDA au SHEIKH BAWAZIR nao wakiteuliwa JF itakuwa kimya namna hii?
Inamaana kulikuwa hakuna akinamama wengine ambao wnanafasi ya kielimu na kadhalika mpaka ateuliwe huyu PADRE?
Something is wrong with our country na hasa pale tunapoteua ma religious fanatics ndani ya Serikali
Hii inatisha na nasubiri kwa hamu nakala ya MWNAKIJIJI kuhusu hili
Mmh kwa weli huyo mama huwa mi nashindwa kumuelewa na hasa pale anapohubiri mambo ya ndoa wakati yeye kashindwa kurudiana na mumewe.kama yeye ni mkristo wa kweli na afanye hivyo kwanza.Lakini sasa tumepata mahali pa kumjurge mana akiwa bungeni ni mwanasiasa si mchungaji kabisajamani hilo la kujirusha kama binadamu ni kawaida ..ili mradi hachukui mabwana za watu..anyway ingekuwa mfano bora kama mtumishi wa bwana akirudiana na mume wake..kwa kuwa hatumuelewi..kama hana mume na ni binadamu mwenye hisia ..hatachelewa kujirusha na dereva au..anyway kafanya kosa kubwa sana atakalojutia kujiunga siasa..unajua kumuumbuua mtumishi wa mungu inataka moyo ...lakini ukija kwenye anga za kisiasa tutakuchambua kama mwanasiasa ..utumishi wako tunaweka kando...hatukuangalii usoni!!!!
Ni kweli Judy tena hata hao watanzania wachache waliopo ni maassistance na wale mishaara yao hailingani na hao wkenya na wagandaSitaki kuongea sana juu ya yeye kuingia kwenye siasa wala habari za madawa ya kulevya maana sina uhakika n a lolote. Ninachojua ni kwamba kweli kawasaidia watanzania kuinua elimu (actually english medium na si elimu in its general term) ambayo watu wengi walikuwa wanaifata kenya na ug. Ila napinga hilo la ajira coz most of waajiwa wake ni wakenya na waganda, anayebisha akachunguze. wabongo wachache na hiki mi kinaniuzi sana.
Haya huyu hapa akiwa anaapa leo bungeni Idodomya!
Ya Mungu tumpe Mungu na ya Kaisari tumpe Kaisari.
mhh huyu yesu akiingia hadi kwenye ufisadi basi dunia hii haina matumaini tena.
Bila kumhusisha mama Rwakatare na dini yoyote ile, nampongeza kwa uamuzi wake wa kuingia kwenye ufisadi. Hii nchi ni yake na yeye inabidi aungane na matajiri wenzake kina Karamagi kuila na kuitafuna vizuri. Yeye ni binadamu kama mimi na hivyo kama ana nafasi ya kufanya ufisadi kwa nini akatae?
Go Rwakatare, nchi yote yako hiyo, wenzako wanauza maeneo ya kanda ya ziwa kwa wazungu, inabidi wewe utafute eneo lakuuuza haraka sana kabla hujakosa pa kuuza!
Pundamilia,
Sita challenge unachosema. Inawezekana ni kweli kabisa huyu mama anafanya hayo yote unayosema na mengine mazuri zaidi. Lakini pengine wewe unajua shughuli zake za sasa hivi zaidi. Mimi najua alikotoka. Najua toka alivyoanzia kwenye maisha ya one bedroom apt pale Ilala flat mpaka kuwa na nyumba kila mtaa pale mikocheni B. Kifupi ni kwamba, mama Rwakatare amecheza faulo nyingi kufika alipofika. Kibaya zaidi amecheza hizo faulo kwa kupitia kivuli cha "utumishi" wa Mungu. Anachofanya sasa hivi ni ku-turn dirt money into good one. So far so good.