Inafahamishwa kutokea Kahama kuwa, mchungaji John Mang'welela wa kanisa la Sabato huko amefariki dunia leo.
Taarifa zaidi ni hii hapa kama ilivyotolewa:
----------
"Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Nyanza Gold Belt Field Mch. Enoch Sando.
Tunasikitika kutangaza kifo cha mchungaji mstaafu Pr. John Mang'welela kilichotokea leo katika hospitali ya wilaya hapa Kahama. Ninaomba washiriki tuiombee sana familia hii katika kipindi hiki kigumu na taratibu zingine tutawajulisha.
Pr Joshua Mbwambo
Katibu wa Wachungaji.
Nyanza Gold Belt Field"
-----------
Poleni wafiwa na wote mlioguswa na msiba huu.
Bwana alitoa na bwana ametwaa.
Jina lake lihimidiwe.
Taarifa zaidi ni hii hapa kama ilivyotolewa:
----------
"Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Nyanza Gold Belt Field Mch. Enoch Sando.
Tunasikitika kutangaza kifo cha mchungaji mstaafu Pr. John Mang'welela kilichotokea leo katika hospitali ya wilaya hapa Kahama. Ninaomba washiriki tuiombee sana familia hii katika kipindi hiki kigumu na taratibu zingine tutawajulisha.
Pr Joshua Mbwambo
Katibu wa Wachungaji.
Nyanza Gold Belt Field"
-----------
Poleni wafiwa na wote mlioguswa na msiba huu.
Bwana alitoa na bwana ametwaa.
Jina lake lihimidiwe.