Mchungaji Kimaro: Wanaume walikuwepo zamani walioweza kujenga barabara ya Mawe Ngorongoro, Wanaume we Leo wanajua kufuga Ndevu tu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,958
146,166
Mchungaji Kimaro anasema mwanadamu wa kwanza alitokea Tanzania ndio Sababu wanaume wa Kitanzania walikuwa na Nguvu kweli kweli

Barabara ya Ngorongoro ilijengwa kwa mikono na wazee wetu waliojaliwa Nguvu lakini Leo wanaume Kazi wanayomudu ni kufuga mizuzu tu( ndevu)

Kimaro anasema Africa wanaume ni wavivu mno na sijui nini kiliwakuta
Marekani kwa mfano ni Viongozi Watatu tu wanaoendeshwa na Madereva kwa Mishahara wa Serikali Rais, Makamu wa Rais na Spika

Ulegevu wa Wanaume Tanzania ni Mjadala mpana naomba muujadili Zaidi huko mitandaoni, ameomba mchungaji Kimaro
 
Mchungaji Kimaro anasema mwanadamu wa kwanza alitokea Tanzania ndio Sababu wanaume wa Kitanzania walikuwa na Nguvu kweli kweli

Barabara ya Ngorongoro ilijengwa kwa mikono na wazee wetu waliojaliwa Nguvu lakini Leo wanaume Kazi wanayomudu ni kufuga mizuzu tu( ndevu)

Kimaro anasema Africa wanaume ni wavivu mno na sijui nini kiliwakuta
Marekani kwa mfano ni Viongozi Watatu tu wanaoendeshwa na Madereva kwa Mishahara wa Serikali Rais, Makamu wa Rais na Spika

Ulegevu wa Wanaume Tanzania ni Mjadala mpana naomba muujadili Zaidi huko mitandaoni, ameomba mchungaji Kimaro
Aisee!!
 
Afrika uvivu ni matokeo ya mfumo na sio Hali
Mbona waafrika wakienda ulaya au USA uvivu upotea wanapiga KAZI kama mchwa.
Sababu mifumo ya ulaya inakizana na uvivu.
Kuwa mvivu at your own risk hakuna mjomba kule wala WA bro nisaidie buku.
Jiulize mbona diaspora wanaochati jf ni wachache kama hakuna jibu ni kule simu pembeni kazi kazi ukitoka KAZI umejaa uchovu na hela ni kulala TU Hadi kesho hata simu hauitamani.
 
Pastor wa hovyo kabisa.

Ccm imeshindwa kujenga hii nchi miaka 60+ sasa halafu lawama anawapa wanaume.

By the way Huwezi kukuta mwanaume yoyote mwenye akili na pesa anafuga ndevu.

Angalia wanaume wote kuanzia wasomi, wanasayansi, matajiri kuanzia hata waarabu na dini yao huwezi kukuta wanafuga ndevu.

Wanaume wanaofuga ndevu wengi ni losers. Uwe na muda wa kutafuta pesa na bado uwe na muda wa kufuga ndevu?
 
Back
Top Bottom