Mumwi
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 592
- 122
Wakuu jana katika pitapita zangu mto wa mbu niliona watu wengi kuuliza nikaambiwa mchungaji aliyepigwa na kikundi cha waislam na kulazwa hospitali hatimaye alikufa na Jana kulikuwa na mazishi yake yaliyohudhuriwa na madhebu mbali mbali ya kikristo hapo Mto wa Mbu.