Mchungaji amchinja mwanae akidai ameoteshwa kumtoa sadaka

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125
Mchungaji amchinja mwanae akidai amaoteshwa kumtoa sadaka..jpg

Mchungaji amchinja mwanae akidai amaoteshwa kumtoa sadaka.
 
Weka nyama ya habari vizuri mkuu, umeweka heading tu hapa, tukio limetokea wapi? lini? weka full story
 
Haya ndiyo yanapigwa marufuku kwenye uandishi..kichwa cha Habari hakisadifu cha ndani..."mchungaji AMCHINJA MWANAE" maana yake tayari mtoto kachinjwa lakini kiuhalisi hajachinjwa ila alielekea...kuua na kudhamiria kuua hayafanani, killing and attempting killing hayafanani nadhani kulikuwa na haja ya kuchunguza kichwa cha Habari... pia Habari haijakamilika kwani wachungaji wapo wengi hata wanaochunga mifugo kama mbuzi, ng'ombe, kondoo n.k
-mchungaji wa dhehebu gani?
-tukio limetokea wapi, lini na muda gani?
-thumuni la mhusika ni lipi na ilikuwaje mpaka tukio likafeli as mashuhuda wanasemaje?
-mshtakiwa anasemaje na anashikiliwa na polisi kituo gani na wataalamu wa mambo wamefafanua vipi?
Otherwise hii story haina mashiko
 
View attachment 337829
Mchungaji amchinja mwanae akidai amaoteshwa kumtoa sadaka.
maisha yanavyozidi kuwa magumu watz wanazidi kuwa vichaaa juz kati kuna mwanamke, tunakulaga maandazi yake alikaa na maiti ya mwanae siku 4 akiamini amelala ataamka huyu naye eti sadaka mwangalie tu alivyo utafahamu ana matatizo kisaikolojia.. hata huyu wa maandazi alikuwa mlokole jamani yaani mtu anakwama anakimbilia kwenye makanisa ya kiroho akiamini na pia akihadaiwa na hawa mitume feki mambo kadha wa kadha , yasiponyooka hahaha anapata frustration anakuwa na kakichaa fulani hivi.. we waangalie tu wanaojiita walokole akili zao karibia wote fyatu wananunia watu na kujiona wao wako sahihi.mfyuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Wewe ni mdini kama Faizafoxy ,habari kama hizi unashangilia sana. Mchungaji wa wapi, imetokea lini, etc??? habari haina kichwa wala miguu, ondoa ujinga wako hapa.
 
Hizi ndio bangi mbaya sanaa......

Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
 
Haya ndiyo yanapigwa marufuku kwenye uandishi..kichwa cha Habari hakisadifu cha ndani..."mchungaji AMCHINJA MWANAE" maana yake tayari mtoto kachinjwa lakini kiuhalisi hajachinjwa ila alielekea...kuua na kudhamiria kuua hayafanani, killing and attempting killing hayafanani nadhani kulikuwa na haja ya kuchunguza kichwa cha Habari... pia Habari haijakamilika kwani wachungaji wapo wengi hata wanaochunga mifugo kama mbuzi, ng'ombe, kondoo n.k
-mchungaji wa dhehebu gani?
-tukio limetokea wapi, lini na muda gani?
-thumuni la mhusika ni lipi na ilikuwaje mpaka tukio likafeli as mashuhuda wanasemaje?
-mshtakiwa anasemaje na anashikiliwa na polisi kituo gani na wataalamu wa mambo wamefafanua vipi?
Otherwise hii story haina mashiko
Aaah tupite tu mwanawane
 
Hii DINI imeanzishwa na waafrika wa Marekani miaka ya themanini ili kuibia waafrika wenzao pesa, baada ya kuona hawapati nafasi serikalini
 
Haya ndiyo yanapigwa marufuku kwenye uandishi..kichwa cha Habari hakisadifu cha ndani..."mchungaji AMCHINJA MWANAE" maana yake tayari mtoto kachinjwa lakini kiuhalisi hajachinjwa ila alielekea...kuua na kudhamiria kuua hayafanani, killing and attempting killing hayafanani nadhani kulikuwa na haja ya kuchunguza kichwa cha Habari... pia Habari haijakamilika kwani wachungaji wapo wengi hata wanaochunga mifugo kama mbuzi, ng'ombe, kondoo n.k
-mchungaji wa dhehebu gani?
-tukio limetokea wapi, lini na muda gani?
-thumuni la mhusika ni lipi na ilikuwaje mpaka tukio likafeli as mashuhuda wanasemaje?
-mshtakiwa anasemaje na anashikiliwa na polisi kituo gani na wataalamu wa mambo wamefafanua vipi?
Otherwise hii story haina mashiko
We nawe unapoteza muda wako kumlaumu mtu ambae hajapitia jounalisim na hata elimu yake huijui,
Hii ni public social forum, so kila mtu ana uhuru wa kutoa taarifa awezavyo
Ukisema watu wote waanze kufuata kanuni za uandishi ni kama kumpigia mbuzi gitaa kwa vile wote hapa ni makanjanja2
 
Back
Top Bottom