EH!jamani jamani!hawa movie stars wetu na wanaume wanaofall nao!NIPASUA KICHWA KWELI KWELI,wadau hebu rejea ya jackie nani sijui,kajala,na wengine kibao!huku kupenda wanaume wenye pesa kutakuja kuwafany wadate hata na mapepo!
akatwe hata pua,Hayatuhusu
Nashangaa halafu huyu Mungi huwa namuheshimu sana kumbe naye ni mulemule.Ndo mana siku hizi wanawake wanapesa kuliko me coz muda wa mmajungu hawana kabisa
EH!jamani jamani!hawa movie stars wetu na wanaume wanaofall nao!NIPASUA KICHWA KWELI KWELI,wadau hebu rejea ya jackie nani sijui,kajala,na wengine kibao!huku kupenda wanaume wenye pesa kutakuja kuwafany wadate hata na mapepo!
Nashangaa halafu huyu Mungi huwa namuheshimu sana kumbe naye ni mulemule.Ndo mana siku hizi wanawake wanapesa kuliko me coz muda wa mmajungu hawana kabisa
akatwe hata pua,Hayatuhusu
labda kaacha laptop on bila ku-logout JF dogo akaingia chap nakupost udaku!:bathbaby: