ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
Usiku wa kuamkia jumapili majira ya saa 10 usiku mchezaji mwenzetu Ambrose Mwingira (ayoyi) amefariki dunia kwa mujibu wa ndugu wa marehemu ayoyi alikua anaumwa malali jambo lillilopelekea kulazwa hospitali ya mkoa songea jumamosi saa nane mchana, alilazwa wadi ya kwanza (grade one) na baadae kuamishiwa chumba cha wagonjwa mahtuti (ICU) ambako kifo kilimkuta. BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA. ameni