Nothing4good
Senior Member
- Feb 19, 2011
- 180
- 55
Kulikua na mpare na mchaga waliokua wanasafiri kwenda tabora kibiashara walipofika singinda wakaamua kuchukua gest walale kwa7bu ilikua usiku sana hakukua na magari yakwendelea na safari.kwa bahati mbaya wakapata chumba kimoja 2 na kila mmoja alikuwa na mkewe. Wakaamua kulala hivyo hivyo mpaka asubuh. Mhudumu akaja asubuh kuwajulia hali maongezi yao yalikua hivi mhudumu: habari za asubuh!? Mpare: jana sijalala kabisa. Mhudumu : kwa nini? Mpare: nilikua namlinda mke wangu huyu mchanga adhije akamchukua. Mhudumu akamgeukia mchaga na kumuuliza na wewe hujalala? Mchaga: sijalala chariangu! Mhudumu:hehe! Nawewe ulikua unamlinda mke wako kama mwenzako? Mchaga!! Hapana. Mhudumu: sasa kwa nini hujalala? Nilikua nalinda mahela yangu huyu mpare asije akaniibia