Mch. Rwakatare avunjiwa nyumba

Sababu haswa ya kubomolewa .hiyo nyumba ni ipi kati ya hizi?

1. Alisema nyumba hizo, zimevunjwa kwa kuwa zimejengwa bila kibali cha ujenzi kutoka Manispaa ya Kinondoni.

2. Mama Lwakatare hana hati ya kumiliki eneo hili wala kibali cha kujenga nyumba kutoka Manispaa ya Kinondoni.

Awali ofisi ya Ardhi ilipokea malalamiko kutoka kwa mmiliki halali wa eneo hilo, Janeth Kiwia, kwamba eneo lake limevamiwa na kujengwa bila kibali Desemba 24.

Zote hizi ni sababu mkuu. Kwa mujibu wa sheria hata kama una umiliki halali wa eneo ni lazima upate BUILDING PERMIT toka mamlaka husika. Ukijenga bila kibali hata kama una hati ya kiwanja chako wakiamua kukubomolea wapo ndani ya matakwa ya sheria, kwasababu umekiuka sheria. Hivyo hata kama aliuziwa na kulikuwa na mgogoro wa umiliki, kisheria hakupaswa kujenga permanent structure yoyote mpaka michoro yake ya ramani ipitishwe na wahandisi wa manispaa na apewe kibali cha kuanza ujenzi.
 
Mzee Ngonyani wa Kawe ni Mojawapo wa watu walioathilika na Tabia ya Mama Rwakatare ya kuwadhulumu Masikini Viwanja kisha kuwatumia Mawakili wake kuwatisha hatimae kufanikisha kumiliki Viwanja kwa dhuluma , hiyo Laana ya Mzee Masikini wa Kawe ndio imefanya Haya yote kwani wakili wake kadunda licha ya kujaribu kila mbinu zote.Mzee ngonyani sasa anajipanga kwenda ikulu kuonana na Rais Maana amejaribu kote lakini Rushwa ikamnyima Haki zake yeye Hana pesa ni fukara Ndio Maana ametumia Laana ili kumfikishia Ujumbe


kumbe huyu mama ni shetani mkubwa hivi duuh!!! hamuogopi hata mungu kudhulumu mali za mafukara!! amekomoka leo!!
 
Zote hizi ni sababu mkuu. Kwa mujibu wa sheria hata kama una umiliki halali wa eneo ni lazima upate BUILDING PERMIT toka mamlaka husika. Ukijenga bila kibali hata kama una hati ya kiwanja chako wakiamua kukubomolea wapo ndani ya matakwa ya sheria, kwasababu umekiuka sheria. Hivyo hata kama aliuziwa na kulikuwa na mgogoro wa umiliki, kisheria hakupaswa kujenga permanent structure yoyote mpaka michoro yake ya ramani ipitishwe na wahandisi wa manispaa na apewe kibali cha kuanza ujenzi.

All in all from foundation to roofing where were the authorities? who will bear the cost of demolition? there must be another reason behind this
 
All in all from foundation to roofing where were the authorities? who will bear the cost of demolition? there must be another reason behind this

Yule alikuwa anajenga eneo lisilo lake na mahakama ili mwambia asijenge yeye hakusikia akaendelea na ujenzi mama aliyekuwa ana nyang'anywa kiwanja ndo kashinda kesi mana lwakatare alitaka kumchakachua ndo akaenda hadi wizata ya ardhi ikajulikana mama lwakatare ndo mwenye makosa
 
Hatimaye.......maana hili sakata nililisikia muda mrefu sana mama akawa anatumia njia anazojua yeye kuzima hii issue, hongera Tibaijuka hongera Mdee maana najua lazima kuna nguvu zako mpaka hilo zoezi limefanikiwa.

Mkuu umeingia chaka. Lile li hekalu la kule ufukweni Waziri alichemsha, Mdee alichemsha, NEMC walichemsha,Pinda alichemsha pia. Lile lidude halibomoleki...

CC: Somoche
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umeingia chaka. Lile li hekalu la kule ufukweni Waziri alichemsha, Mdee alichemsha, NEMC walichemsha,Pinda alichemsha pia. Lile lidude halibomoleki...

CC: Somoche

Sio ile ya ufukweni ni nyingine ndogo ndogo kama tano ndo zimebomolewa
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu wana hela zakupoteza sana yaani unajenga wakati umekatazwa
 
Sheria ina kanuni zake na wala haihitaji jazba. Sijabariki dhuruma na wala hilo halina dispute lakini Janeth Kiwia si mjane. Marehemu aliyekuwa mmiliki wa eneo lile hakuwa mme wake bali ni shemeji yake. Ujane hapa haupo ila ni gear ya kutafuta sympathy and mob support.

Ninachokiongea ni kufuata sheria. Kwa nini waliendelea kuvunja wakati kuna Court Stop Order? Wanajua mahakama ilitaka kufanya nini juu ya hil shauri? Wizara ya ardhi na halmashauri si mahakama watoe court orders. Ndiyo maana kuna mahakama ambapo jambo lolote lisiloafikiwa linastahili kusikilizwa na kuamuliwa. Badala ya kuamua nyumba zivunjwe, Manispaa ya kinondoni na wizara ya ardhi, walipaswa kum support yule mama Mahakamani, hasa baada ya kufahamu kwamba shauri hili tayari lipo mahakamani na kuna stop Order.

Vinginevyo, ukiukwaji wa sheria kwa vyombo vya serikali ni chanzo kikubwa cha kukosekana kwa heshima kwa sheria na ni mlango wa watu kuchukua sheria mkononi na machafuko.

Sasa mama Rwakatare amefile Civil Case, anadani million 800 kupitia mahakamani. Sijui defendants watatoa utetezi gani wa kuvunja nyumba wakati shauri liko mahakamani na kudharau amri halali ya mahakama iliyozuia nyumba isivunjwa.

Naomba tuache mob psychology, kuchangaanya hoja, na kushabikia kwa lengo la utashi wa kumkomesha mtu kinyume cha sheria.




Kwa hiyo kwako wewe, yule mama mjane kudhulumiwa kiwanja chake na hao mafisadi wenye economic power, ndiyo unaona sahihi?!

Nadhani hilo lililofanywa na Manispaa ya Kinondoni ni sahihi kabisa, ili liwe fundisho zuri kwa wale mafisadi wengine, wanaotengeneza pesa chafu, kwa staili ya uuzaji wa 'sembe' na unyofoaji wa pembe za ndovu, kuwa their days are numbered, kwa kuwa sheria ni msumeno, inakata huku na kule, bila kujali nafasi yako kwenye society!
 
Mungu hana upendeleo! hutenda haki siku zote hata kama binadamu tutatumia uwezo wetu wote kuzuia haki isitendeke.mjane hongera sana! kilio chako kimesikilizwa.Viongozi wa kiroho kutwa kuhubiri watu tuungame dhambi zetu wakati wao wako mstari wa mbele kuzitenda!
 
Hapo umesema sahihi. Ushabiki wa dhuluma kwa mjane ni porojo. Kikubwa ni hicho. Wizara ya ardhi na manispaa ya kinondoni si mahakama. Pengine ingekuwa sahihi kama kusingekuwa na Stop Order ya Mahakama. Mahakamani ndiko sehemu pekee ya kupatikana kwa haki kwa mujibu wa sheria.

Ni sheria gani wametumia kuvunja nyumba wakati shauri liko mahakamani na wamepewa stop order? Lazima sheria za nchi ziheshimike. Kule mahakamani, ndipo umiliki wa eneo ungetamkwa bayana na kumtia hatiani mwenye makosa na kutoa mwongozo nini kifanyike.


Mkuu ishu sio mjane, hapa swala ni je Lwakatare ni mmiliki halali wa kiwanja hicho? Naamini hata walioruhusu nyumba zibomolowe sio kwa ajili ya ujane, bali ni kukosa uhalali wa kumiliki
 
Umethibitisha kuna mjane? Unaweza kuthibitisha mama rakwatare alimdhurumu mjane huku akijua? Mjane ni nani zaidi ya mke wa marehemu? Janethi Kiwia ni mjane wa nani?

Haki ya kuvunja imetolewa na chombo gani cha kisheria? Sheria gani inaruhusu execution wakati shauri liko mahakamani na wameletewa waraka wa mahakama ukiwaamurisha wasitishe zoezi la kuvunja, hadi shauri hilo limalizwe na mahakama?



Mungu hana upendeleo! hutenda haki siku zote hata kama binadamu tutatumia uwezo wetu wote kuzuia haki isitendeke.mjane hongera sana! kilio chako kimesikilizwa.Viongozi wa kiroho kutwa kuhubiri watu tuungame dhambi zetu wakati wao wako mstari wa mbele kuzitenda!
 
Hapo umesema sahihi. Ushabiki wa dhuluma kwa mjane ni porojo. Kikubwa ni hicho. Wizara ya ardhi na manispaa ya kinondoni si mahakama. Pengine ingekuwa sahihi kama kusingekuwa na Stop Order ya Mahakama. Mahakamani ndiko sehemu pekee ya kupatikana kwa haki kwa mujibu wa sheria.

Ni sheria gani wametumia kuvunja nyumba wakati shauri liko mahakamani na wamepewa stop order? Lazima sheria za nchi ziheshimike. Kule mahakamani, ndipo umiliki wa eneo ungetamkwa bayana na kumtia hatiani mwenye makosa na kutoa mwongozo nini kifanyike.
Mkuu haya ya stop order na mahakamani naamini umesoma tu hapa kama lilivyoandikwa gazetini unless uniambie upo karibu na mtiti huu hivyo una taarifa za ziada. Kama hapana, sidhani kama unaweza kuhoji kwa authority hatua zilizochukuliwa. Victim (Lwakatare) anaweza kujibu chochote akiwa kwenye disadvatage position pindi anapohojiwa na media. Awali kuna mdau alisema huyu mama alikataa wito wa kufika mahakamani, unajuaje kama mahakama iliamua kesi ya upande mmoja na baada ya jidgement yeye akaenda kukata rufaa? Kwa hiyo nadhani tusiprolong debate hii kwa mgongo wa mahakama ilihali hatujui kwa uhakika na ushahidi proceeding ya kesi ilikuwaje na status ipoje sasa hivi.
 
Ningefurahi ungekuwa na uwezo wa kuongea kwa hoja. Sijui huu ushabiki utasaidia katika hukumu ya kesi iloyofailiwa ambayo mama Rwak. anadai fidia ya 800 m. Tusubiri tuone pengine hata mahakama itahukumu kwa kufuata ushabiki usiokuwa na hoja wala kuzingatia sheria.

Mheshimiwa wakili wa Rwakatare unajitahidi sana kumtetea mama. Hongera sana, ila ndo hivyo nyumba zishavunjwa!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kongozi ukisema hivyo, hata hizi habari zote tunazozijadili hapa, tumezipata mtandani na ndiyo msingi wa majadilian.

Vinginevyo, nisingeweka neno kwa mjadala ambao facts zake ni za koubuni kutoka katika hisia za watu.

Kama unachanzo kingine kizuri kinachobainisha kwamba hapana court proceedings zinazoendelea juu ya suala hili na kwamba hakuna stop order iliyowasilishwa, unaweza kutuwekea hapa. Lasivyo siwezi kujadili hisia na thoughtful wishes.

Weka chanzo cha habari kwamba mama Rwak. alikataa kufika mahakamani na kesi ikaamuliwa upande mmoja.

Hata hivyo kwa ufahamu wako unamaanisha mahakama ikishatoa uamuzi hakuna review? Na kwamba haiwezi kutoa stop order ili ifanye review zaidi?

Kwa nini unasema siwezi kuhoji authority iliyotoa uamuzi wakati imeandikwa bayana kwamba ni uamuzi wa manispaa ya kinondoni na wizara ya ardhi. Ina maana wewe hujui mipaka kati ya wizara, manispaa na mahakama? Napata shida kuelewa unamaanisha nini kwamba authorities are unquestionable!. Lol,

Nikutakie shule njema.



Mkuu haya ya stop order na mahakamani naamini umesoma tu hapa kama lilivyoandikwa gazetini unless uniambie upo karibu na mtiti huu hivyo una taarifa za ziada. Kama hapana, sidhani kama unaweza kuhoji kwa authority hatua zilizochukuliwa. Victim (Lwakatare) anaweza kujibu chochote akiwa kwenye disadvatage position pindi anapohojiwa na media. Awali kuna mdau alisema huyu mama alikataa wito wa kufika mahakamani, unajuaje kama mahakama iliamua kesi ya upande mmoja na baada ya jidgement yeye akaenda kukata rufaa? Kwa hiyo nadhani tusiprolong debate hii kwa mgongo wa mahakama ilihali hatujui kwa uhakika na ushahidi proceeding ya kesi ilikuwaje na status ipoje sasa hivi.
 
Mkuu haya ya stop order na mahakamani naamini umesoma tu hapa kama lilivyoandikwa gazetini unless uniambie upo karibu na mtiti huu hivyo una taarifa za ziada. Kama hapana, sidhani kama unaweza kuhoji kwa authority hatua zilizochukuliwa. Victim (Lwakatare) anaweza kujibu chochote akiwa kwenye disadvatage position pindi anapohojiwa na media. Awali kuna mdau alisema huyu mama alikataa wito wa kufika mahakamani, unajuaje kama mahakama iliamua kesi ya upande mmoja na baada ya jidgement yeye akaenda kukata rufaa? Kwa hiyo nadhani tusiprolong debate hii kwa mgongo wa mahakama ilihali hatujui kwa uhakika na ushahidi proceeding ya kesi ilikuwaje na status ipoje sasa hivi.

Huyu. Mama Lwakatare kazi yake kubwa ni kuuza madawa ya kulevya kwa mgongo wa kanisa. Wanapata kiburi wanafikiri wanaweza kununua haki ndiyo maana wanajenga hata maeneo yenye migogoro. Wavunjiwe tu hawa.
 
Serikali,rwakatale na huyo mwenye viwanja wote mbuluraz,issue kama hiyo ni kukaa mezani tu!! Kama Mama mchungaji kavamia kiwanja serikali ingekaa kati kufanya win win situation kutafuta mtu wa kati ananue eneo mama mchungaji apate gharama alizotumia na aliedhulumiwa apate gharama ya kiwanja serikali ipate tozo ya kodi ya manunuzi....

Mama hata mahakamani akiitwa alikuwa hataki kwenda hivyo uwezekano wa mashauriano yoyote kulikuwa hakuna!!!
 
yaani hiyo ingekua mfano kwa wengine
wangemkabidhi tu mama kiwanja chake na nyumba wamwambie achukue uamuzi mwenyewe kama atabomoa ama kuzihamisha

Hili lingeweza kufanyika kama mama Rwakatare angeridhia lakini bilaa ridhaa yake inakuwa ni dhuluma- Kama sikosei Papaa Msoffe aliridhia nyumba aliyokuwa amejenga kwenye kiwanja kisicho chake abaki nayo mwenye kiwanja (nadhani mwenye kiwanja pia alikuwa ni mama mjane akasaidiwa na waziri mkuu Pinda)-wengi kwa sababu ya roho zetu mbaya huwa tunaona ni bora tukose wote!!!
 
Back
Top Bottom