Mch. Kenan Mwasomola umeongea kweli suala la muziki Kanisani

Muite

JF-Expert Member
Sep 10, 2013
2,348
4,807
Nimeona kwenye mitandao jinsi mchungaji kenan mwasomola alivyokuwa amewa kwa hisia kali na hasiri akikosoa uimbaji wa siku hizi makanisani kwamba sio wa roho mtakatifu. Amekosoa jinsi makanisa kutumia mitindo ya nyimbo na muziki wa kidunia kama vile Rap/R&B, Jazz, Reggae, Singeli nk na kuimba kwa kufokafoka. Yaani vyombo vinapigwa kwa fujo kama baa.

Binafsi nimemuelewa sana maana hata mimi kanisa langu la lutheran ni shida, yaani ni miziki na kinachoitwa pambio full mkoko utafikiri watu wapo disco. Kwenye makanisa ya kilokole hali ndio mbaya zaidi. Halafu kwasababu imeandikwa kuwa watu wamuimbie bwana kwa vinanda na vinubi basi ndio hoja wanayosimama nayo lakini kimsingi makanisa mengi siku hizi ni vurugu tu. Kanisa pekee lililobaki ni kanisa katoliki tu ndilo linalomuabudu mungu na kumsifu kwa heshima na ustaarabu.

Yaani makanisa yetu sasahivi nikushindana kununua vyombo vya muziki mkubwa.

Pia kunazidi kuongezeka wahubiri wakujitegemea wengi mitaani na barabarani ambapo mtu ukinunua spika yako moja na micphone basi tayari ni kanisa. Sasa hivi makanisa ya barabarani na stendi za daladala ni balaah cha msingi spika yako kubwa, mic na chombo cha kukusanyia maokoto.

Uhuru wa shughuli za dini umekuwa holela sana na watawala wanaogopa kuweka utaratibu kwa hofu ya kukosolewa.

Askofu Malasusa hebu turejeshee Lutheran yetu ya miaka ya 80 na 90 iliyokuwa lutheran iliyojengeka katika imani ya kweli, ustaarabu ndani ya ibada/kanisa na mafundisho/mahubiri ya injili ya kweli na kuishi maisha yenye kumpendeza Mungu. Siku hizi 80% ya mahubiri ni yale ya kidunia, kupata kazi, kuolewa, kufanikiwa kimaisha na msisitizo wa matoleo na michango halafu mziki mkubwa watu waimbe kama na kucheza kwa kujimwaga.

Lutheran imekuwa haina tofauti na makanisa ya kilokole.
 
Nimeona kwenye mitandao jinsi mchungaji Kenan Mwasomola alivyokuwa amewa kwa hisia kali na hasiri akikosoa uimbaji wa siku hizi makanisani KWAMBA SIO WA ROHO MTAKATIFU. Amekosoa jinsi makanisa kutumia mitindo ya nyimbo na muziki wa kidunia kama vile Rap/R&B, Jazz, Rege, singeli nk na kuimba kwa kufokafoka. Yaani vyombo vinapigwa kwa fujo kama baa.

Binafsi nimemuelewa sana maana hata mimi kanisa langu la Lutheran ni shida, yaani ni miziki na kinachoitwa pambio full mkoko utafikiri watu wapo DISCO. Kwenye makanisa ya KILOKOLE HALI NDIO MBAYA ZAIDI. Halafu kwasababu imeandikwa kuwa watu wamuimbie bwana kwa vinanda na vinubi basi ndio hoja wanayosimama nayo LAKINI KIMSINGI MAKANISA MENGI SIKU HIZI NI VURUGU TU.
KANISA PEKEE LILILOBAKI NI KANISA KATOLIKI TU NDILO LINALOMUABUDU MUNGU NA KUMSIFU KWA HESHIMA NA USTAARABU.

Yaani makanisa yetu sasahivi nikushindana kununua vyombo vya muziki mkubwa .

Pia kunazidi kuongezeka wahubiri wakujitegemea wengi mitaani na barabarani ambapo mtu ukinunua spika yako moja na micphone BASI TAYARI NI KANISA. Sasahivi makanisa ya barabarani na stand za daladala ni balaah CHA MSINGI SPIKA YAKO KUBWA, MIC NA CHOMBO CHA KUKUSANYIA MAOKOTO.

UHURU WA SHUGHULI ZA DINI UMEKUWA HOLELA SANA NA WATAWALA WANAOGOPA KUWEKA UTARATIBU KWA HOFU YA KUKOSOLEWA.

ASKOFU MALASUSA hebu turejeshee Lutheran yetu ya miaka ya 80 na 90 iliyokuwa Lutheran iliyojengeka katika Imani ya Kweli, USTAARABU ndani ya Ibada/KANISA na Mafundisho/Mahubiri ya INJILI ya kweli na kuishi maisha yenye kumpendeza Mungu. Siku hizi asilimia 80% ya mahubiri ni yale ya kidunia, kupata kazi, kuolewa, kufanikiwa kimaisha NA MSISITIZO WA MATOLEO NA MICHANGO HALAFU MZIKI MKUBWA WATU WAIMBE KAMA NA KUCHEZA KWA KUJIMWAGA .

LUTHERAN IMEKUWA HAINA TOFAUTI NA MAKANISA YA KILOKOLE
nakubaliana na wewe, style ya miziki ya kidunia makanisani katikati yake huwa kuna kashetani wanacheza pamoja. wao huwa wanachukulia ile kwamba hata Daudi alicheza hadi nguo zikamdondoka lakini hawafikirii kwamba Daudi alipocheza alikuwa anaonyesha hisia za furaha tu haikua kumwabudu Mungu kwa kucheza vile. research imeonyesha Mungu hawawahi kuonekana mahali penye makelele ya aina hiyo, mara huku limdundo la ajabu ajabu, mara huku mtu anaomba kwa kupayukaaaaa tena kwa maneno ya kiswahili kabisa (yangekuwa maneno ya kunena kwa lugha tungeongea mengine), mpo kwenye uwepo mara mwingine analeta linyimbo la ajabuajabu, shida tupu.

Mungu huwa anapatikana kwenye utulivu, hata abudu yako inatakiwa kuwa ya utulivu, ya ndaniii ya moyo wako, kwenye kilindi cha moyo wako. Yesu aliwaambia kuwa, usalipo ingia ndani, funga mlango, sali kwa moyo wako toka kilindini na Mungu wako atakusikia. labda uwe uanfanya maombezi ndio uanwez akupayuka payuka kwasababu unakuwa unaamuru, though hata kuamuru nako sio lazima upayuke kama una nguvu za Mungu hata uwepo wako tu sehemu ni threat kwa shetani vya kutosha.

nisiongee mengi sana, naomba nikujibu suala la watu kuhubiri ovyo mitaani. hapo umekosea, hao watu wanafanya la maana sana, ninyi mlioko makanisani sio tu ndio mliotumwa kuhubiri. ofcourse tunatakiwa kuhubiri kila mahali as long as you have a breath, hubiri. mitandaoni hubiri badala ya kuleta critics kama hizi, ulitakiwa uhubiri. Mungu akukipatia speaker nenda barabarani kahubiri, hata akiokoka mtu mmoja tu ni wa thamani kwa Mungu. tangu umekalisha mwili wako kwenye kiti hauhubiri unajua ni wangapi wamepotea kwa uvivu wako na kujifanya mstaarabu ati usihubiri mitaani na mabarabarani? unasema uhuru umekuwa mwingi ungependa watu wazuiwe kuhubiri mitaani? hujui unachokisema na Mungu akusaidie.
 
Sina sababu ya kuelezea ila mimi moyoni nilikataaa yale ma drum na mangoma ngoma kuwepo kanisani.
kama yanapigwa kwa utaratibu, ni kitu kizuri, ila kama wanapiga kama manyimbo ya kikongo na ya kina diamond, wanakuwa wanajifurahisha tu nafsi, hawamwabudu Mungu hapo.
 
Bendera hupepea kulingana na kasi ya upepo na muelekeo wake.
Mambo ya kizamani kwa zama hizi hayana nafasi.
Watulie tuu
 
Nimeona kwenye mitandao jinsi mchungaji Kenan Mwasomola alivyokuwa amewa kwa hisia kali na hasiri akikosoa uimbaji wa siku hizi makanisani KWAMBA SIO WA ROHO MTAKATIFU. Amekosoa jinsi makanisa kutumia mitindo ya nyimbo na muziki wa kidunia kama vile Rap/R&B, Jazz, Rege, singeli nk na kuimba kwa kufokafoka. Yaani vyombo vinapigwa kwa fujo kama baa.

Binafsi nimemuelewa sana maana hata mimi kanisa langu la Lutheran ni shida, yaani ni miziki na kinachoitwa pambio full mkoko utafikiri watu wapo DISCO. Kwenye makanisa ya KILOKOLE HALI NDIO MBAYA ZAIDI. Halafu kwasababu imeandikwa kuwa watu wamuimbie bwana kwa vinanda na vinubi basi ndio hoja wanayosimama nayo LAKINI KIMSINGI MAKANISA MENGI SIKU HIZI NI VURUGU TU.
KANISA PEKEE LILILOBAKI NI KANISA KATOLIKI TU NDILO LINALOMUABUDU MUNGU NA KUMSIFU KWA HESHIMA NA USTAARABU.

Yaani makanisa yetu sasahivi nikushindana kununua vyombo vya muziki mkubwa .

Pia kunazidi kuongezeka wahubiri wakujitegemea wengi mitaani na barabarani ambapo mtu ukinunua spika yako moja na micphone BASI TAYARI NI KANISA. Sasahivi makanisa ya barabarani na stand za daladala ni balaah CHA MSINGI SPIKA YAKO KUBWA, MIC NA CHOMBO CHA KUKUSANYIA MAOKOTO.

UHURU WA SHUGHULI ZA DINI UMEKUWA HOLELA SANA NA WATAWALA WANAOGOPA KUWEKA UTARATIBU KWA HOFU YA KUKOSOLEWA.

ASKOFU MALASUSA hebu turejeshee Lutheran yetu ya miaka ya 80 na 90 iliyokuwa Lutheran iliyojengeka katika Imani ya Kweli, USTAARABU ndani ya Ibada/KANISA na Mafundisho/Mahubiri ya INJILI ya kweli na kuishi maisha yenye kumpendeza Mungu. Siku hizi asilimia 80% ya mahubiri ni yale ya kidunia, kupata kazi, kuolewa, kufanikiwa kimaisha NA MSISITIZO WA MATOLEO NA MICHANGO HALAFU MZIKI MKUBWA WATU WAIMBE KAMA NA KUCHEZA KWA KUJIMWAGA .

LUTHERAN IMEKUWA HAINA TOFAUTI NA MAKANISA YA KILOKOLE
Akirejesha mtindo wa miaka 70's wewe utalipa ruzuku kanisa baada ya sisi kuhamia kwa Masanjamkandamizaji!
 
Kama Nia ni kujifurahisha kwa mizaha makanisani sawa, lakini Roho Mtakatifu hakai kwenye kelele na densi zisizo na staha
sahihi kabisa. hata Mungu hawezi kuongea na wewe kwenye makelele na unarukaruka kama bongo fleva. ni heshima gani unasogea nayo kwa Mungu? lazima uende kwa kutulia, kwa unyenyekevu na kwa kutoka kilindini cha moyo wako. kweli utakuwa kilindini cha moyo kwa kuruka kama hamonize? sebene sijui disco la yesu hata sijui ni yesu gani wanamsema huyo.
 
Ni upotoshi wanaotembea na hili la Daudi.
Daudi hakuvua nguo Bali nguo zilimvuka.
Kuvua ni
Tendo la hiari na kumvuka ni lisilo la hiari.
 
Back
Top Bottom