Mch. Kakobe hajawahi kushinda akiwa pekee yake au na kundi lolote

2. Mwaka 2009 aliingia kwenye mgogoro mzito na shirika la umeme Tanesco akisema nguzo sisipite juu ya kanisa.... lake ameongea na yesu Umeme ukipita juu ya kanisa lake hautawaka ---- TANESCO wakapitisha na Umeme ukawaka - Kakobe akashindwa

Waogopeni ukawa kama Homa ya dengu

Usicho kijua ni USIKU wa KIZA.

Hakuna umeem unaopita pale mpaka leo.
 
Huyu ni Sheikh mwingine wa Interahamwe, sikia kauli yake: "Watu wameitafsiri vibaya kauli ya Lukuvi aliyoitoa Kanisani huko Dodoma". Sheikh msaka tonge bhana, utafikiri Lukuvi alikuwa anazungumza Kichina, hivyo hatukumwelewa!
Huyu shekhe nilikuwa namheshimu sana lakini amepunguza sana imani yangu kwake.Lakini nimemsamehe kwani shida haina adabu.
 
1. Kakobe mwaka 1995 alitangaza Mrema ndio chaguo a Mungu na Atashinda urais Mrema akaangukia Pua - Kakobe na mrema Lyatonga Wakashindwa

2. Mwaka 2009 aliingia kwenye mgogoro mzito na shirika la umeme Tanesco akisema nguzo sisipite juu ya kanisa.... lake ameongea na yesu Umeme ukipita juu ya kanisa lake hautawaka ---- TANESCO wakapitisha na Umeme ukawaka - Kakobe akashindwa

3. Miezi michache iliopita viwanja vya jangwani alitangaza kumpa mtihani Raisi wa jamuhuri akishinikiza asisaini mswaada wa sheria Mwisho raisi akasain Kakobe akashindwa

4.Mwaka 2010 Mwishoni alipata kashifa nzito za kuiba mikufu ya dhahabu ya akina mama akaamua kukimbia tanzania na kuhamia uhamishoni -- Akaaibika.... sasa amerudi tanzania amekosa wadhamini wa kurusha vipindi vyaka vya dini star tv na channeli teni ana hamu ya kuuza sura Ameamua kudandia Hoja za Ukawa na serikali tatu .....

Kwa tunaojua hesabu za sikwensi and sirizi... Kakobe ni direct proposheno na kushindwa

Hivyo mpaka sasa ukawa imeshindwa na itashindwa kwani wameungana na Bingwa wa Kushindwa africa mashariki na Mchungaji kakobe

Waogopeni ukawa kama Homa ya dengu

CCM haijawahi kushinda uchaguzi wowote tangia uhuru na siri kubwa ipo kwenye tume ya uchaguzi
Kitendo cha wao kukataa kura ya siri juzi ni ushahidi mwingine
Leo CCM na Kikwete wameshindwa kuleta Katiba mpya na sasa wanakutuma kumtukana Kakobe Je umejiaandaa?? au wewe ni Komba??
 
1

3. Miezi michache iliopita viwanja vya jangwani alitangaza kumpa mtihani Raisi wa jamuhuri akishinikiza asisaini mswaada wa sheria Mwisho raisi akasain Kakobe akashindwa

4.Mwaka 2010 Mwishoni alipata kashifa nzito za kuiba mikufu ya dhahabu ya akina mama akaamua kukimbia tanzania na kuhamia uhamishoni -- Akaaibika.... sasa amerudi tanzania amekosa wadhamini wa kurusha vipindi vyaka vya dini star tv na channeli teni ana hamu ya kuuza sura Ameamua kudandia Hoja za Ukawa na serikali tatu .....

Kwa tunaojua hesabu za sikwensi and sirizi... Kakobe ni direct proposheno na kushindwa
Hizo Hesabu unazotaja hapo juu zinafundishwa kidato cha tatu na zinajulikana kwa jina la Squence and Series.
Hesabu za Direct Proportional zinafundishwa kidato cha kwanza.
Sasa mtoa mada amehusisha mtu kujua Squence and Series ndipo ajjue direct proportional. Yaani mtu ajue kwanza mada ya kidoto cha tatu ndipo ajue mada ya kidato cha kwanza!!
Hata hivyo mada hizi hazina uhusiono wowote katika conclusion.
 
Mimi ninavyowajua majini huwa wasema kinyume na yale yanayotokea.Tunapotoa majini huwa yanasema sitoki, lakini hatimaye yanatoka yenyewe bila kutaka. Hebu NENDA MAKUMBUSHO UKAONE FORGERY ILIYOFANYWA NA MAJINI WENZAKO WAKALETA UMEME ILI KUDANGANYA MAJINI KAMA WEWE NA WATU WENGINE KWAMBA UMEME UNAWAKA. MPAKA LEO UMEME KUTOKA UBUNGO HAUPO. kAMA UPO RAIS WAKO MBONA HAJAUZINDUA AU KUUFUNGUA MRADI HUO? HAO AKINA MAMA WALIIBIWA MIKUFU YAO? SHETANI ANAITWA BABA WA UONGO HIVI UNAWEZA KUTAJA KAKOBE NI LINI ALIONDOKA NCHINI ALIPANDA NDEGE IPI? KUMBUKA UNAMCHEZEA MTUMISHI WA MUNGU, WAKO WAPI WALIOKUWA VIONGOZI KATIKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI WAKATI HUO? KWA KEJELI ZAKO MABAYA YANAKUJA KWAKO. WANAOKUJUA WATAKUMBUKA UTUMBO ULIOPOST JANVINI.
 
kaka/dada mbona hujaongea point yoyote ya kueleweka?nadhan ulitaka kufikisha ujumbe ila sema hauwezi kuongea,embu tumia hata ishara hueleweke mana hiyo hesabu yako sidhani kama inawork hapa
 
Kama watu wangekuwa na bidii katika kweli kama wanavyotia bidii kusema uongo wangekuwa mbali katika maendeleo.Tatizo mojawapo kubwa la umaskini kwa Watanzania ni kuuamini uongo.Yote yaliyoandikwa hapo juu ni uzushi ambao mleta mada anadhani anaweza kuwadanganya watu na kumharibia sifa Mtumishi wa Mungu.Askofu Kakobe ni Mtumishi wa kweli wa Mungu asiyeogopa kusema kweli kwa vitisho vyovyote!.
Umeme wa Tanesco pale Mwenge FGBF haupiti mpaka leo!
Umeme haupiti pale! PERIOD!
attachment.php
Ndg umetoa jibu la ukweli,
 
Wakumwogopa zaidi nijini na sio ukawa,tabia ya akili ndogo kuendesha akili kubwa wewe jini magamba imekuwa je una kuwa kama ng'ombe aliye pigwa pete puani ambaye huchungwa hata na watoto wa dogo.sio kosa lako ni njaa
 
Asante sana GBBS,nilipoona kichwa cha habari nilitaka kukmjibu ndugu mleta hoja nikwa najiuliza reference ya kuonyesha Umeme haujawahi kupita kwa Askofu Kakobe nitapata wapi,mara nikaona Ushahidi wako,maan humu tunaenda kwa ushahidi.Ingawaje ushahidi upo mwingi mfano wa yule kichaa yaliyepanda nguzo hizo nk,nafikiri huo unatosha.Pili huyo aliyeandika thread hii anaitwa JINI MAHABA,Mtu anyefikia kujiita jina hilo tunajua yuko upande gana kati ya MUNGU na Shetani,hivyo yeye na Askofu Kakobe ni kama ilivyo mashariki na Magharibi ilivyowekwa mbali.Nimekuwa nikirudia mara kwa mara kuwa Tangu Enzi zile za mwanzo,Watumish wa MUNGU wa kweli mara zote walikuwa kinyume na hizi Selikari za kidhalimu na kinyonyaji,tofauti na sasa ambao Watumishi wa MUNGU wapishana mara kwa mara wakinywa chai Ikulu,na kauli zao zikitofautiana mara kwa mara.Hilo la Mrema alishalitolea ufafanuzi tafuta mahojiano yake kwenye KITIMOTO(MWENYE CD HII TUNAOMBA AKIPATA MUDA AWAWEKEE).Watumishi wa MUNGU wa kweli,Wakristo wa kweli tunapashwa tuwaunge mkono bila kuogopa.
 
Suala hili bado ni kitendawili. Tanesco na Serikali walisema watapitisha kwa nguvu. Mtumishi wa Mungu na waumini wa kanisa lake wakasema hata kama italazimishwa, umeme hautawaka. Sijasikia tena watu wa Tanesco au Serikali kuzungumzia suala hilo. Humu ndani ya jamvi kuna watu wa Serikali (?) na Tanesco pia. Hebu tujuzeni je mlifanikiwa? Umeme umepita na unawaka? Kama siyo kwa nini mnaona aibu kukiri ukweli? - Msijali maelezo yenu hayatakuwa rasmi.....
 
1. Kakobe mwaka 1995 alitangaza Mrema ndio chaguo a Mungu na Atashinda urais Mrema akaangukia Pua - Kakobe na mrema Lyatonga Wakashindwa

2. Mwaka 2009 aliingia kwenye mgogoro mzito na shirika la umeme Tanesco akisema nguzo sisipite juu ya kanisa.... lake ameongea na yesu Umeme ukipita juu ya kanisa lake hautawaka ---- TANESCO wakapitisha na Umeme ukawaka - Kakobe akashindwa

3. Miezi michache iliopita viwanja vya jangwani alitangaza kumpa mtihani Raisi wa jamuhuri akishinikiza asisaini mswaada wa sheria Mwisho raisi akasain Kakobe akashindwa

4.Mwaka 2010 Mwishoni alipata kashifa nzito za kuiba mikufu ya dhahabu ya akina mama akaamua kukimbia tanzania na kuhamia uhamishoni -- Akaaibika.... sasa amerudi tanzania amekosa wadhamini wa kurusha vipindi vyaka vya dini star tv na channeli teni ana hamu ya kuuza sura Ameamua kudandia Hoja za Ukawa na serikali tatu .....

Kwa tunaojua hesabu za sikwensi and sirizi... Kakobe ni direct proposheno na kushindwa

Hivyo mpaka sasa ukawa imeshindwa na itashindwa kwani wameungana na Bingwa wa Kushindwa africa mashariki na Mchungaji kakobe

Waogopeni ukawa kama Homa ya dengu

TANESCO wanatumia pesa nyingi katika miradi ya umeme ambayo yote ni mibovu . Angalia pesa hizo hapo chini harafu ufananishe na kuondokana kwa tatizo la umeme katika maeneo husika:
(1)Mfumo wa usafirishaji umeme na usambazaji katika Mkoa wa Kilimanjaro uliogharimu Sh28 bilioni.
(2)Mfumo wa usambazaji umeme kwa jiji la Dar es Salaam mwaka 1991 kwa msaada wa JICA Sh63.4 bilioni.
(3) Mradi wa umeme Mkoa wa Kilimanjaro (1997) Sh 7.8 bilioni
(4)Mradi wa umeme DSM KV 132 Ubungo hadi Ilala awamu ya kwanza (1998 ) sh 18.5 bilioni
(5)Mradi wa Kilometer 7 na KV 132 kutoka Ubungo hadi Makumbusho (2011) Sh 7.3 bilioni
Haujazinduliwa hadi leo kutokana na hitilafu ya vikombe kwenye Nguzo 19 na 20.
Engneer Baregu wa Tanesco alisema Wafanyakazi wawili Tanesco wameshafukuzwa kwa kuhisiwa kuwa wamehujumu vikombe. Na hata JICA walipo leta vikombe vipya bado tatizo lipo palepele hadi sasa haujazinduliwa wala hakuna . mtawala anayetembelea hapo na wala hakuna jiwe la msingi. Jambo la kushangaza hapakuwapo hata kibao kinacho onyesha kuwa kandarasi yupo katika kazi hiyo.
(6)ukarabati wa kituo cha msongo wa KV 132/33 cha Ilala (2013) Sh827 milioni
(7) Ukarabati mkubwa wa kituo cha kupooza umeme Kilimanjaro (2013) Sh40.6 bilioni)
(8) Umeme kutoka Iringa - Dodoma – Singida – hadi Shinyanga wa Km 217, KV 400 (216) US$26 milioni


 
Achana na hesabu kama huzijui,maana hakuna uhusiano kati ya sequence & series na hayo mambo ya proportionality.

Inavyoonekana uliacha shule wakat wenzio wanafundishwa hiyo sequence & series so hukubahatika kujua inahusu nn

Ukiwa na muda nichek ili nikufundishe kuhusu Variation (direct,inverse & joint proportional) au rudi shule ukaendelee na sequence

ONYO:Kama huijui hesabu vzr husipende kutumia terminology zake
 
Leo,umenikumbusha kipindi cha KITIMOTO;kilichokuwa kinarushwa DTV;akiongoza mtangazaji ambaye ni mwana JF,maarufu hapa !
 
Jina mahaba,majina mengine bhana, xo huwa unaingiliwa na jini mahaba usiku nn???? Mpaka ukajiita jini mahaba!!!!!!!!!
 
mi cjamuelewa mtoa hoja yani ukawa haifai baada ya kujiunga na ukawa ama ukawa kama ukawa ndio haifai mtoa hoja tafadhali nieleweshe
 
Fanya kuchagua kimoja kati ya bangi na viroba maana aya ni madhara ya kuchanganya vyote,umeme umepita wapi pale kwa Kakobe?
 
Fanya kuchagua kimoja kati ya bangi na viroba maana aya ni madhara ya kuchanganya vyote,umeme umepita wapi pale kwa Kakobe?

katika viongozi wa dini wanaoishi kile wanacho KIAMINI na kukihubiri ni askofu Kakobe.Kama yeye ufisadi anauita ifisadi bila kupepesa macho kama biblia inavyotaka unafikiri atapendwa na sisiem!? BIG UP KAKOBE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom