UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,543
- 7,755
Mbwa ni kamanda msaliti na wafuasi wake, baada ya kugalagazwa ameufyata, mkia nchonyoni, anabwekea mafichoni
Jokakuu usemayo ni kweli, lakini kwanini sisi tumekuwa wepesi kutolewa kwenye mada ya uchaguzi na kuanza kushughulishwa na misemo ya khanga?..Ni kweli Askofu Gwajima amenukuu toka kwa Winston Churchill.
..maneno hayo yangeweza kuwa hayana ukakasi kama angeyatumia ktk mazingira na nyakati tofauti.
..sidhani kama ilikuwa sahihi kwa Askofu Gwajima kuyatumia maneno hayo baada ya UCHAGUZI MKUU ambao una malalamiko mengi.
Hawezi kuelewa huyo.Unaelewa maana ya fasihi?
Jokakuu usemayo ni kweli, lakini kwanini sisi tumekuwa wepesi kutolewa kwenye mada ya uchaguzi na kuanza kushughulishwa na misemo ya khanga?
Mkuu,nitasema tena na tena,yule alieziita nchi za Afrika chini ya Jangwa la Sahara ni Shit hole Country hakukosea....hili ni suala la muda tu lakini tutarudi kulekule kwenye uchaguzi ambao kimsingi uliharibiwa.
..lakini kwa upande mwingine tuna tatizo kubwa zaidi la mmomonyoko wa maadili, na inaelekea hakuna utu tena.
..tunaweza kuandika sheria na taratibu nzuri za uchaguzi, lakini kama hatutabadilika kimaadili, matatizo yetu yatabaki palepale.
..labda nitoe mfano wa usumbufu waliokuwa wakiupata wagombea wa upinzani ktk kurudisha fomu za uteuzi, kupitishwa kugombea, kushughulikia mapingamizi, kupata majibu ya rufaa, etc etc. hivi unadhani tatizo ni sheria zetu tu, au tatizo kubwa zaidi liko ktk maadili ya wasimamizi wa sheria hizo?
Hakika, gwajima ailichukulia uaskofu kama kichaka cha kuficha maovu yake, kwenye siasa atajiweka peupe. Anapata wapi ujeuri wa kuwaita mbwa wana wa Adamu walioumbwa kwa sura ya Mungu?Huyo ndiye mnamuita eti/sijui askofu?
... leo ndiye anatamka kauli ya kuita watu umbwa!!
Sitakosea nikisema ni askofu wa maumbwa, wezi na wanyang'anyi.
Gwajima ailichukulia uaskofu kama kichaka cha kuficha maovu yake, kwenye siasa atajiweka peupe. Anapata wapi ujeuri wa kuwaita mbwa wana wa Adamu walioumbwa kwa sura ya Mungu?Mhe askofu Gwajima akitoa neno la shukurani baada ya Rais kuhutubia Bunge amemshauri Mh. Magufuli kuwaacha mbwa waendelee kubweka.
Wajuvi wa Mambo, tunaomba mtujuze hao mbwa ni akina nani? Ni kweli kuna mbwa wanaompigia kelele Magufuli?
Duuh..!! Alinifumba kabisa nisingeweza kuelewa kitu hapo..!! Ni kweli kabisa mbwa hufugwa kwa kazi ya kubweka wezi wanapotaka kuiba. Nashukuru sana kwa ufafanuzi huo. Kwa hiyo anamaanisha mbwa wameng'olewa meno hata wakibweka wala asiogope aendelee kuiba tu.Yani anamaanisha mwizi anapoenda kuiba mbwa kama walinzi hubweka kumzuia mwizi asifanikishe zoez kake. Ila gwajima anamshaur magu aendelee na wizi wake asijali mbwa wanaombwekea
Wakianza kuondoka nishtue nahitaji dagaa na ubuyu wa ZenjiNi tapeli fulani, Kawe wameshaenda USA?
Sikia mkuu.Hakika, gwajima ailichukulia uaskofu kama kichaka cha kuficha maovu yake, kwenye siasa atajiweka peupe. Anapata wapi ujeuri wa kuwaita mbwa wana wa Adamu walioumbwa kwa sura ya Mungu?
Tatizo kubwa ni wasimamizi wa sheria, na hakuna mtu au watu wa kukemea mambo haya na kusikilizwa. Kwa kifupi hakuna checks and balances kwenye mifumo yetu wa kuendesha nchi...hili ni suala la muda tu lakini tutarudi kulekule kwenye uchaguzi ambao kimsingi uliharibiwa.
..lakini kwa upande mwingine tuna tatizo kubwa zaidi la mmomonyoko wa maadili, na inaelekea hakuna utu tena.
..tunaweza kuandika sheria na taratibu nzuri za uchaguzi, lakini kama hatutabadilika kimaadili, matatizo yetu yatabaki palepale.
..labda nitoe mfano wa usumbufu waliokuwa wakiupata wagombea wa upinzani ktk kurudisha fomu za uteuzi, kupitishwa kugombea, kushughulikia mapingamizi, kupata majibu ya rufaa, etc etc. hivi unadhani tatizo ni sheria zetu tu, au tatizo kubwa zaidi liko ktk maadili ya wasimamizi wa sheria hizo?
Wapo anganiWakianza kuondoka nishtue nahitaji dagaa na ubuyu wa Zenji
Lissu, Mbowe, Maria, Kigogo, Shangazi, Zitto and the like.Mhe askofu Gwajima akitoa neno la shukurani baada ya Rais kuhutubia Bunge amemshauri Mh. Magufuli kuwaacha mbwa waendelee kubweka.
Wajuvi wa Mambo, tunaomba mtujuze hao mbwa ni akina nani? Ni kweli kuna mbwa wanaompigia kelele Magufuli?
Mhe askofu Gwajima akitoa neno la shukurani baada ya Rais kuhutubia Bunge amemshauri Mh. Magufuli kuwaacha mbwa waendelee kubweka.
Wajuvi wa Mambo, tunaomba mtujuze hao mbwa ni akina nani? Ni kweli kuna mbwa wanaompigia kelele Magufuli?
Kiongozi wa Kiroho Rasmi Kesha kaa pembeni na Mambo ya Kiroho,Siasa Siku zote kwa Tanzania ni Chuki,Uongo na Ubinafsi Askofu kaamua kuwa Upande huoMhe askofu Gwajima akitoa neno la shukurani baada ya Rais kuhutubia Bunge amemshauri Mh. Magufuli kuwaacha mbwa waendelee kubweka.
Wajuvi wa Mambo, tunaomba mtujuze hao mbwa ni akina nani? Ni kweli kuna mbwa wanaompigia kelele Magufuli?
Wanataka kukwamisha wenzao ni wale,walioiba haki za wenzao akiwemo Gwajima..
Kwasababu ame m-qoute Churchill ndio unamuona mtu wa maana,huyu jamaa ni tapeli Tu,hana lolote
Huyu jamaa sio mfano mzuri Kwa jamii..mropokwaji,muongo,anapenda Matusi ..nk