N NNYAMBALA Member Mar 3, 2011 85 12 Jul 28, 2011 #1 Huyu Jamaa yuko wapi? Attachments mbunge.jpg 209.5 KB · Views: 336
Masanilo Platinum Member Oct 2, 2007 22,286 4,493 Jul 28, 2011 #2 NNYAMBALA said: Huyu Jamaa yuko wapi? Click to expand... Msibani!
G geophysics JF-Expert Member Nov 1, 2010 904 166 Jul 28, 2011 #3 Kwani ni nani na anatuhusu nini.... Kwanza ndo waliotuletea matatizo yote tuliyonayo sasa hivi.....Alale mbele
Kwani ni nani na anatuhusu nini.... Kwanza ndo waliotuletea matatizo yote tuliyonayo sasa hivi.....Alale mbele
TIMING JF-Expert Member Apr 12, 2008 24,893 11,290 Jul 28, 2011 #4 Ukiwa mwanaume halafu unaulizia mwanaume mwenzako hata baada kuona threads zaidi ya mbili zinamhusu mtu huyohuyo Sielewi
Ukiwa mwanaume halafu unaulizia mwanaume mwenzako hata baada kuona threads zaidi ya mbili zinamhusu mtu huyohuyo Sielewi
The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,110 115,899 Jul 28, 2011 #5 MTM said: Ukiwa mwanaume halafu unaulizia mwanaume mwenzako hata baada kuona threads zaidi ya mbili zinamhusu mtu huyohuyo Sielewi Click to expand... sio kila anaevaa suruali ni mwanaume lol
MTM said: Ukiwa mwanaume halafu unaulizia mwanaume mwenzako hata baada kuona threads zaidi ya mbili zinamhusu mtu huyohuyo Sielewi Click to expand... sio kila anaevaa suruali ni mwanaume lol
Gama JF-Expert Member Jan 9, 2010 13,266 4,716 Jul 29, 2011 #6 Sijaelewa, mnasema.........................?!
First Born JF-Expert Member Jul 11, 2011 5,310 1,473 Jul 29, 2011 #7 kama yuko msibani basi anaiombea roho ya marehemu mahali pema peponi.
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Jul 29, 2011 #8 Gama said: Sijaelewa, mnasema.........................?! Click to expand... kamwulize jk!
Mbugi JF-Expert Member Jan 7, 2011 1,488 257 Jul 29, 2011 #9 NNYAMBALA said: Huyu Jamaa yuko wapi? Click to expand... Mbona hawafanani na siye na wanaonekana wana uchu wa kuwa viongozi, angalia macho yao tu (fisadi)
NNYAMBALA said: Huyu Jamaa yuko wapi? Click to expand... Mbona hawafanani na siye na wanaonekana wana uchu wa kuwa viongozi, angalia macho yao tu (fisadi)
U Uswe JF-Expert Member Nov 1, 2010 2,204 626 Jul 31, 2011 #10 NNYAMBALA said: Huyu Jamaa yuko wapi? Click to expand... Muulize Wenje
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Nov 13, 2009 43,707 60,760 Aug 2, 2011 #11 Yupo anajaribu kufufua ule mradi wake uliofeli wa vitambulisho vya taifa.
KAKA A TAIFA JF-Expert Member Apr 27, 2011 566 80 Aug 2, 2011 #12 yupo mambo ya ziwa victoria mradi wa kupeleka maji dodoma