Acha kuropoka kama kasuku. Anza kutaja faida na hasara za kura ya wazi na siri ndio uanze kumshawishi mbunge wako.Kila mtu amkumbushe mwakilishi wake juu ya kura anayoitaka itumike ili na wao watuwakilishe kwa maoni yetu na siyo mawazo yao au vyama vyao. Mkishindwa mbaki huko huko msirudi majimboni.......
Kila mtu amkumbushe mwakilishi wake juu ya kura anayoitaka itumike ili na wao watuwakilishe kwa maoni yetu na siyo mawazo yao au vyama vyao. Mkishindwa mbaki huko huko msirudi majimboni.......