Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,752
- 218,339
Mzee Bwege mbunge wa zamani wa CUF, anaumwa na amekatwa mguu kutokana na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua.
Vyombo vya habari vya Tanzania vimeripoti.
Natoa wito kwa wadau wa jf na wengine tumuombee ili apate nafuu haraka
Vyombo vya habari vya Tanzania vimeripoti.
Natoa wito kwa wadau wa jf na wengine tumuombee ili apate nafuu haraka