Shameless guy km yule sijui km atakua na familiaAna familia kweli?
Shameless guy km yule sijui km atakua na familiaAna familia kweli?
Hakuna cha kununua wala nini. Madiwani na wabunge wameshamshtukia mulla Mbowe.Nyie walaaniwa endeleeni kununua madiwani na wabunge
Hasira za nini sasa?Wewe unapika ujinga tu mithili ya mtu aliyetoroka milembe
Mwanamtoka pabayaK
Katika siasa watu wanasema kwamba, kama unaona mpinzani wako anakusumbua, tumia njia ya 'accommodation', yaani unamfanya awe sehemu ya chama chako. Hivyo msipagawe, mlifanya hivyo chakadema kwa kumchukua maumvi, ziro, nyarandu. Sasa ngoma inogile kwa upande wa pili
Tatizo njaa imewazidia hadi wanajiondoa ufahamuHivi unawaza kwa kutumia kiungo gani cha mwili wako unahisi kila anaechukia kinachofanywa na ccm ni chadema hivi watanzania lini tutafufuka kifikra
Jamani !!!!!!!!Dunia mzima inatudharau yaani badala tupambane na umasikini sisi tunapambana na upinzani
Wewe ni taahira tu.Ona sasa ulivyokuwa mpumbavu na lugha za kilofa lofa. Hapo ndio unajiona mjanjaa. Ha ha ha.
Hata mbowe atahama2020 watarudi kwa kasi ya bombardier.
Haikusaidii kitu.Wewe ni taahira tu.
Wewe inakusaidia nini?Haikusaidii kitu.
Unajibu kwa kuuliza? Ha ha ha.Wewe inakusaidia nini?
Kwani hujui kuwahadi raha, hao wapinzani inabidi waitishe semina na vikao vya kufundana make bika hivyo yale mabenchi ya upinzani pale bungeni atabaki tu Tundulissu.
Huyu Millya siku nyiiiingi alitaka kuhama. Nilipoona rafiki yake Dr. Mollel amehama nikajua ni jambo la siku tu naye atafuata nyayoPole sana mkuu mpaka mwenyekiti pia yumo kwenye mapatano ya bei!
Inaonekana siku hizi tunanunulika tu!Wanunueni tu maana imebaki miezi 13 tu ya hiyo biashara kufungwa rasmi,ikishafika miezi 12 kabla ya uchaguzi mwingine hakuna kuhama,kwahiyo endeleeni na ununuzi.
Mimi ni CHADEMA orijinal. kabla Mbowe hajauza chama kwa maccm 2015.Mbona wewe unajiuza na hakuna mtu wa kufika bei?