Mbunge wa Mwibara aanza kupoteza sifa ya Ubunge

Kangi kashikwa tamaa na utajiri wa haraka.anatumia ujinga wa ndg zetu kuwaibia ardhi.kwa sasa amemuleta rafiki yake eliasi magessa kupora ardhi halali ya wazee wa namibu.hakika hatufai tena
 
Kangi kashikwa tamaa na utajiri wa haraka.anatumia ujinga wa ndg zetu kuwaibia ardhi.kwa sasa amemuleta rafiki yake eliasi magessa kupora ardhi halali ya wazee wa namibu.hakika hatufai tena

Namibu umesema vema sana! Wananchi kwa sasa wako macho sana wanasema haibiwi mtu! Haiwezekani ndugu wakudanganye na wewe udanganyike! Kangi amekwisha na huu mgogoro kaulea yeye mwenyewe lazima umtafune.

Nasikia ndugu wa Uvccm wamejipanga kumsambaratisha kwenye kesi tajwa hapo baadae na kummaliza kisiasa hahahahaha!! Ardhi ni mali hakuna anayekubali kuachia ardhi asipate pa kulima eti Kangi anajenga veta! Hiyo veta wanasoma bure au!
 
Kangi ni mbunge pekee wa ccm mwenye sifa ya kurudi 2015, mkoa mzima wa Mara.migogoro ya ardhi iko nchi nzima, ccm imeshindwa kila kitu.

Kwa nje anaonekana hivyo lakini Jimboni kwake kachemsha. Wakatoliki juzi wamemchomoa mabati 300 geji 30 ili asiondoke bila kuchomolewa maana yuko kimasilahi zaidi.
 
Wewe nafikiri hujitambui.

Hamfahamu Kangi vizuri ndo maana anamsemea kwa muonekanao wake bungeni lakini Kangi ni miongoni mwa mizigo ccm aluyoitaja kinana na huo ndiyo ukweli. Kaa utafakari utaniambia niko sahihi.

Kwa sasa nasikia barabara haipiti pale Kibara centre inapita juu wakati kwao pale NAMITWEBIRI barabara inapita karibu na nyumba yake. Watu wakibara jiandaeni kupokea mafuliko ya maji kutoka juu maana madaraja yatajengwa chini ya kiwango na maji yatawasomba kama watu wa Jangwani dar es salaam.
 
Kangi kashikwa tamaa na utajiri wa haraka.anatumia ujinga wa ndg zetu kuwaibia ardhi.kwa sasa amemuleta rafiki yake eliasi magessa kupora ardhi halali ya wazee wa namibu.hakika hatufai tena

Wabunge wa Mwibara wabishi sana! "Jimamba ninyafu sana"akidi ya mkutano wa kijiji kugawa ardhi nasikia haikuwepo! Viongozi walikula mkwanja kutoka kwa Kangi Lugola akauziwa eneo kwa laki 6 huu ni ufisadi mkubwa sana.
 
Wabunge wa Mwibara wabishi sana! "Jimamba ninyafu sana"akidi ya mkutano wa kijiji kugawa ardhi nasikia haikuwepo! Viongozi walikula mkwanja kutoka kwa Kangi Lugola akauziwa eneo kwa laki 6 huu ni ufisadi mkubwa sana.

Naam naam! Umenena mkubwa! Akidi haikuwepo kilichofanyika ni ujanja ujanja! Haki haipotei hata siku moja wabaya wataumbuka soon!
 
Habari imeletwa kwa hisani ya wanakijiji cha Kibara na Namibu! Sasa Chasimba na Mvomero kama nao wanamatatizo kama haya ni vizuri wawakilishi wao wakayaleta hapa jukwaani tujadili.

Niweke wazi hapa hakuna ugomvi wa ccm na kangi, kuna mgogoro wa ardhi kijana wa uvccm kata ya Kibara ni miongoni mwa watoto wa familia wanaomiliki sahamba hilo. Umeanza kuelewa! Kangi anatamani apore hilo shamba kakini mziki uko upande wa pili nao wametegesha rada zao!

Mkuu mzima? Bandiko langu ulilielewa! Jumapili njema
 
Back
Top Bottom