- Thread starter
- #81
karibu na veta ya mbunge sijaelewa
Mbunge amejenga veta jirani kabisa na shamba la wapiga kura wake. kwa tamaa ya ardhi anatamani kupora eneo lao na Uvccm ili ajimilikishe kwa njia haramu!
karibu na veta ya mbunge sijaelewa
V
Huyu ndo mbunge aliyeshabikia Waziri mkuu ajiuzuru. Hayo ambayo huwa anabwabwajika Bungeni ni ya kwake Au hutumwa na wananchi wake. Hata mawasiliano jimboni kwake ni hafifu na Yeye badala ya kushughulikia matatizo ya wananchi wake anasema Utumbo utumbo Bungeni. Eti filikunjombe ndo model wake. Aibu. Ngoja muda wake umalizike aishie zake, Sijui atarudi Polisi au
Jimbo la mwibara likikupa ubunge jua tu kwamba ni miaka mitano basi! Na ukileta za kuleta hata mitano humalizi unapingwa mahakamani na jimbo kubaki bila mbunge. Kangi ajiandae kisaikolojia.
V
Huyu ndo mbunge aliyeshabikia Waziri mkuu ajiuzuru. Hayo ambayo huwa anabwabwajika Bungeni ni ya kwake Au hutumwa na wananchi wake. Hata mawasiliano jimboni kwake ni hafifu na Yeye badala ya kushughulikia matatizo ya wananchi wake anasema Utumbo utumbo Bungeni. Eti filikunjombe ndo model wake. Aibu. Ngoja muda wake umalizike aishie zake, Sijui atarudi Polisi au
kaeneo kenyewe.......................
Kangi Lugora anatia aibu,Filikujombe ni sawa na mtoto wake wa tatu.Kwanini Filikunjombe asiige toka kwa Kangi?
Nahisi Kangi Lugola anaanza kuwekewa 'mizengwe' na CCM hasiwe mBunge Mwibara...karibu upinzani Kangi, you belong to this side!
Nahisi Kangi Lugola anaanza kuwekewa 'mizengwe' na CCM hasiwe mBunge Mwibara...karibu upinzani Kangi, you belong to this side!
Katika nchi changa kama Tanzania tukianza kuchukiana kwa kulazimisha viongozi wachafu kuchukua madaraka kwa njia ya rushwa hayo ndiyo madhara yake! Kangi alichukua ubunge wa mwibara kwa njia ya rushwa na inasemekana hata hilo eneo lenye utata alilinunua kabla ya ubunge; lakini mpaka hivi sasa nimejilidhisha Kangi anasoma upepo bado hajafanya marndeleo ndani ya eneo lao na UVCCM kata ya Kibara! Hayo ndiyo matatizo ya double standard kazi kwelikweli!
Kangi ni mbunge pekee wa ccm mwenye sifa ya kurudi 2015, mkoa mzima wa Mara.migogoro ya ardhi iko nchi nzima, ccm imeshindwa kila kitu.
Katika nchi changa kama Tanzania tukianza kuchukiana kwa kulazimisha viongozi wachafu kuchukua madaraka kwa njia ya rushwa hayo ndiyo madhara yake! Kangi alichukua ubunge wa mwibara kwa njia ya rushwa na inasemekana hata hilo eneo lenye utata alilinunua kabla ya ubunge; lakini mpaka hivi sasa nimejilidhisha Kangi anasoma upepo bado hajafanya marndeleo ndani ya eneo lao na UVCCM kata ya Kibara! Hayo ndiyo matatizo ya double standard kazi kwelikweli!