Mbunge wa Mwibara aanza kupoteza sifa ya Ubunge

Haki inapatikana mahakamani na siyo kwenye majukwaa ya mitandao! Mwanasheria nakutakia kila la kheri!

Umenena yegowasu! Wazee sasa kulivalia junga jambo hili.wamemuita uvccm kupata suluhu kichama! Hatujui nini hatima ya kikao hicho! Macho na masikio yako kikao cha wazee ccm Kibara! Mkutano unaendelea na wajumbe wanalipuana ni baraaaaa!!
 
CCM wote ni Ma jambaz including huyo kiongozi wa UVFISIEM

Hahahaha! Bramo; nakubaliana na wewe kwa asilimia kubwa lakini wengine ni wasindikizaji choka mbaya wakubwa wanakula wadogo wanatumika kama mali ghafi kuwezesha majambazi!
 
kikao cha wazee cha jana yasemekana kilikwepa kuzungumzia sakata la mh.mbunge badala yake walijikita kwenye mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa!
 
Banda gani tena mkuu maana mimi nimeona kuna majengo kama madarasa!

Kwa taarifa za uhakika ni kwamba; kangi amejenga veta kwenye eneo lake lakini hajaingia kwenye shamba lao na uvccm, anachokifanya anatikisa njiti za kiberiti kuona kama moto utawaka.

Ni vema jamii ikatambua kuwa, uonevu unaofanywa na viongozi hasa wale ambao ni wawakilishi wa wananchi; wakataliwe kupewa lidhaa ya kuongoza tena awamu ya pili kwa kuwa wanakuwa sehemu ya migogoro katika jamii.
 
Huu uzi inaonekana ni kweli tupu! Mbunge anapokaa kimya anamaana gani wakati kuna mgogoro! Tunataka majibu Mzee Kangi
 
Nimefuatilia mambo jimbo la mwibara nimebaini ya kuwa; yaliyosemwa hapa kwenye bandiko ni kweli tupuuu!! Hivi kwa nini mtu akipata pesa anaanza kusahau sheria na utu? Inawezekanavipi mbunge ambaye ni muakilishi wa wananchi avamie mashamba ya wananzengo? Kangi jipime uje hapa utupe majibu!
 
Nimefuatilia mambo jimbo la mwibara nimebaini ya kuwa; yaliyosemwa hapa kwenye bandiko ni kweli tupuuu!! Hivi kwa nini mtu akipata pesa anaanza kusahau sheria na utu? Inawezekanavipi mbunge ambaye ni muakilishi wa wananchi avamie mashamba ya wananzengo? Kangi jipime uje hapa utupe majibu!

Nilisema wakaanza kubeza eti ni mambo ya kisiasa! Umeweka wazi hakika umma umejua, tupambane kutokomeza haya majangiri ya tembo na ardhi. Nguvu ya umma haishindwi popote duniani pazeni sauti zenu Mungu atasikiliza kilio cha wanyonge.
 
Taarifa nilizozipata kutoka jimbo la Mwibara mh.Kangi Lugola atakuwa na mkutano Tar.01.10.2014 na kuzungumza na wananchi wa kata ya Kibara.

Imebainika kuwa,mbunge amejipanga kujibu tuhuma zinazomkabili juu ya uporaji wa shamba. Wananchi wanamsubiri kwa hamu kubwa kukabiliana nae kimkakati! Moja ya hoja za msingi alizopanga kuzungumza ni pamoja na mkwamo wa katiba mpya na mkwamo wa ujenzi wa veta yake inayopatikana na shamba lao na uvccm. Macho na masikio ni tar.01.10.2014
 
Yaliyojiri mkutano wa Kangi Ndege Lugola na wananchi wa Kibara katika viwanja vya ccm ilikuwa ni aibu tupu! Mbunge akisema Kibara hoyee! Wananchi kimyaa!!
Hizi ni dalili za wazi kuwa kangi amejichanganya mwenyewe na ubunge kwa heri. Hata hivyo hakuacha kuzungumzia mradi wake wa veta na akashindwa kabisa kutatua mgogoro unaofukuta chini kwa chini juu ya shamba lao na uvccm. Kitu kibaya zaidi mbunge alitumia kauli ya kichochezi akisema hivi " ukiona nyoka anatoa kichwa usikimbilie kumpiga; subiri kwanza atoe na mkia ujue ni nyoka wa aina gani tipo umpige" kauli hii ni ya kiburi sana haifai kutumiwa na kiongozi kama kangi hakika ni kubwa jinga kabisa.

Mwaka huu tutasikia mengi! Tupia kapicha Karumbeta walau tuone mkutano ulivyojiri. Mbona hukutuletea updates? Tupia picha.
 
Mwaka huu tutasikia mengi! Tupia kapicha Karumbeta walau tuone mkutano ulivyojiri. Mbona hukutuletea updates? Tupia picha.

Hiyo ndiyo hali halisi jionee mwenyewe wala hakuna ubishi.
 

Attachments

  • 1412180442627.jpg
    1412180442627.jpg
    135.2 KB · Views: 197
Mbunge wa mwibara awaomba waumini wa kikatoliki kumuokoa kwenye ubunge wake! Ameyasema hayo leo kwenye harambee ya Ujenzi wa shule ya English medium parokia ya Kibara ambapo yeye amechangia bati 300.
 
Mikutano aliyoifanya mbunge wa Mwibara Kangi Lugola; haikuwa na msisimko kama ilivyozoeleka hapo awali.

Alifanya mkutano wake Kwiramba akaambulia watu wachache sana na zomeazomea hatasahau! Mbaya zaidi alipokuja Kibara tarehe 01.10.2014 hali ilikuwabaya zaidi; pamoja na kuungana na chama cha TLP ikiwa nipamoja na diwani wa TLP kumpa ushirikiano bado mambo yalikuwa magumu kwake.
 
Nimefuatilia mambo jimbo la mwibara nimebaini ya kuwa; yaliyosemwa hapa kwenye bandiko ni kweli tupuuu!! Hivi kwa nini mtu akipata pesa anaanza kusahau sheria na utu? Inawezekanavipi mbunge ambaye ni muakilishi wa wananchi avamie mashamba ya wananzengo? Kangi jipime uje hapa utupe majibu!

Hiyo ndiyo idadi ya wananchi wanaomuunga mkono kangi wakiwemo na wale wa TLP.
 

Attachments

  • 1412874085159.jpg
    1412874085159.jpg
    110 KB · Views: 274
Back
Top Bottom