Single D
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 457
- 14
Waungwana huyo Mkono aliyesema atawasha moto Bungeni kuhusiana na umiliki wa mgodi wa Buhemba mbona hatujamsikia?
Bubu
Nasubiri kuona huu moto utakaowashwa huko bungeni,kwa kuwa mkono ameuona huo mgodi wa Meremeta ulioko Buhemba kwa siku nyingi ukinyanyasa wananchi hadi wawekezaji kupiga wananchi risasi za moto na kuhodhi mabwawa ya maji,eti leo anajitutumua bungeni?Tena wale wawekaji(wawekezaji) waliacha hata bila kufukia mashimo.
Serikali isije ikawa inamtumia kuziba ukweli fulani kwa kuwa ndo mbuge wa jimbo hilo kwa zaidi miaka 5.
Kumbuka huu mgodi nao ulikuwa ulaji wa mafisadi