MBUNGE wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Abood achimba visima 23 vya maji

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,573
MBUNGE wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Abood, ameng'ara mbele ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, baada ya kufanikisha mradi wa uchimbaji wa visima vya maji 23 kwa ajili ya maeneo mbalimbali ya jimbo hilo.

Kinana alizindua mradi huo wa maji ya visima mjini hapa juzi, wakati akiangalia utekelezaji wa Ilani ya CCM na kupokea kero za wananchi ambapo alitumia nafasi hiyo kuzindua visima hivyo ambavyo vimegharimu zaidi ya Sh milioni 363.

Akizungumzia zaidi miradi ya visima hivyo, Kinana, alisema mbunge huyo ameonyesha dhamira ya kweli ya kazi ya uongozi ambayo ameamua kuifanya kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wake.

Alisema umuhimu wa viongozi kuwatumikia wananchi ambao wameamua kuwachagua kwa ajili ya kuwatumikia na uchimbaji wa visima hivyo ni wazi kuwa kazi ya utekelezaji wa Ilani ya CCM inafanyika vizuri na hilo ni jambo jema.

Alisema lengo la CCM ni kuona tatizo la maji linapata ufumbuzi na kilichofanywa na Abood ni moja ya mambo muhimu wakati Serikali nayo ikiendelea kuwatumikia wananchi wake, hasa kwa kuzingatia kuwa CCM ndiyo iliyoshika dola na Ilani yake ndiyo inatekelezwa.

“Abood ameonyesha wazi kuwa anajali wananchi wake, anatambua wajibu wake na hii ndiyo sifa ya uongozi. Naamini kwa kazi hii atakuwa mbunge wenu kwa kipindi kirefu ndani ya jimbo hilo. Kila ninakopita naona anashangiliwa na wananchi wake na wanampenda,” alisema Kinana.
 
Kama dsm hamna maji,nyie huko bush lazima mchanganyikiwe kupata visima,after more than 50 yrz of independence! vi2 vya aibu kabisa unasifia! kwa hiyo mmepata maendeleo!? unajua watanzania wengi sio wazima vichwani,ndo mana tumeletewa dawa za kuongeza,sijui kutuliza,sijuikupumbaza akili!
 
MBUNGE wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Abood, ameng'ara mbele ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, baada ya kufanikisha mradi wa uchimbaji wa visima vya maji 23 kwa ajili ya maeneo mbalimbali ya jimbo hilo.

Kinana alizindua mradi huo wa maji ya visima mjini hapa juzi, wakati akiangalia utekelezaji wa Ilani ya CCM na kupokea kero za wananchi ambapo alitumia nafasi hiyo kuzindua visima hivyo ambavyo vimegharimu zaidi ya Sh milioni 363.

Akizungumzia zaidi miradi ya visima hivyo, Kinana, alisema mbunge huyo ameonyesha dhamira ya kweli ya kazi ya uongozi ambayo ameamua kuifanya kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wake.

Alisema umuhimu wa viongozi kuwatumikia wananchi ambao wameamua kuwachagua kwa ajili ya kuwatumikia na uchimbaji wa visima hivyo ni wazi kuwa kazi ya utekelezaji wa Ilani ya CCM inafanyika vizuri na hilo ni jambo jema.

Alisema lengo la CCM ni kuona tatizo la maji linapata ufumbuzi na kilichofanywa na Abood ni moja ya mambo muhimu wakati Serikali nayo ikiendelea kuwatumikia wananchi wake, hasa kwa kuzingatia kuwa CCM ndiyo iliyoshika dola na Ilani yake ndiyo inatekelezwa.

"Abood ameonyesha wazi kuwa anajali wananchi wake, anatambua wajibu wake na hii ndiyo sifa ya uongozi. Naamini kwa kazi hii atakuwa mbunge wenu kwa kipindi kirefu ndani ya jimbo hilo. Kila ninakopita naona anashangiliwa na wananchi wake na wanampenda," alisema Kinana.

Hizi ni Salamu toka IRINGA...
attachment.php
 
MBUNGE wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Abood, ameng'ara mbele ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, baada ya kufanikisha mradi wa uchimbaji wa visima vya maji 23 kwa ajili ya maeneo mbalimbali ya jimbo hilo.

Kinana alizindua mradi huo wa maji ya visima mjini hapa juzi, wakati akiangalia utekelezaji wa Ilani ya CCM na kupokea kero za wananchi ambapo alitumia nafasi hiyo kuzindua visima hivyo ambavyo vimegharimu zaidi ya Sh milioni 363.

Akizungumzia zaidi miradi ya visima hivyo, Kinana, alisema mbunge huyo ameonyesha dhamira ya kweli ya kazi ya uongozi ambayo ameamua kuifanya kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wake.

Alisema umuhimu wa viongozi kuwatumikia wananchi ambao wameamua kuwachagua kwa ajili ya kuwatumikia na uchimbaji wa visima hivyo ni wazi kuwa kazi ya utekelezaji wa Ilani ya CCM inafanyika vizuri na hilo ni jambo jema.

Alisema lengo la CCM ni kuona tatizo la maji linapata ufumbuzi na kilichofanywa na Abood ni moja ya mambo muhimu wakati Serikali nayo ikiendelea kuwatumikia wananchi wake, hasa kwa kuzingatia kuwa CCM ndiyo iliyoshika dola na Ilani yake ndiyo inatekelezwa.

"Abood ameonyesha wazi kuwa anajali wananchi wake, anatambua wajibu wake na hii ndiyo sifa ya uongozi. Naamini kwa kazi hii atakuwa mbunge wenu kwa kipindi kirefu ndani ya jimbo hilo. Kila ninakopita naona anashangiliwa na wananchi wake na wanampenda," alisema Kinana.

Tena visima vichache hivi, alitakiwa kujenga mara kumi ya hivi Huyu alishatuibia sana kwa nauli ya mabasi yake!! Asitufanye wajinga!
 
Tena visima vichache hivi, alitakiwa kujenga mara kumi ya hivi Huyu alishatuibia sana kwa nauli ya mabasi yake!! Asitufanye wajinga!

Sasa tumezidisha tuhuma, kila kizuri lazima tuitie dosari. kama siku tunaibiwa ina maana sote sisi nia Zombi.
 
Sabodo aliwaahidi chadema pesa za visima na kuendeleza chama, lakini baada ya kupata taarifa kuwa chadema wanatumia hovyo pesa za ruzuku ameona hawako serious. Amesitisha misaada kwa chadema.
 
Upuuzi wa mwaka ........ yaani baada ya miaka 50 ya uhuru bado tunategemea maji ya vision mijini. Sasa huko vijijini itabidi wasubiri miaka mingine 50 kama CCM itaendelea kuongoza.
 
Upuuzi wa mwaka ........ yaani baada ya miaka 50 ya uhuru bado tunategemea maji ya vision mijini. Sasa huko vijijini itabidi wasubiri miaka mingine 50 kama CCM itaendelea kuongoza.

Tatizo hulifahamu jimbo la Morogoro Mjini. Neno mjini limekufanya udhani kuwa jimbo hilo lote ni mjini. Jimbo la Morogoro Mjini lina maeneo ambayo ni vijijini. Lakini hata hivyo njia ya kisima ni njia rasmi ya kupata maji na haina uhusiano na mjini au kijijini kwa sababu mtu anachohitaji ni maji, whether maji hayo yamechombwa chini au yametoka kwenye mto makes no different.
 
Sabodo aliwaahidi chadema pesa za visima na kuendeleza chama, lakini baada ya kupata taarifa kuwa chadema wanatumia hovyo pesa za ruzuku ameona hawako serious. Amesitisha misaada kwa chadema.

Mimi nilipoona visima nikadhani Sabodo ametekeleza ahadi yake. Hivi katika hiyo ahadi ni nani aliwalaghai wananchi; ni Sabodo au CHADEMA manake ahadi ya visima ipo kimya wala haitajwi tena!
 
Mimi nilipoona visima nikadhani Sabodo ametekeleza ahadi yake. Hivi katika hiyo ahadi ni nani aliwalaghai wananchi; ni Sabodo au CHADEMA manake ahadi ya visima ipo kimya wala haitajwi tena!

chadema walipewa pesa za awali na Sabodo wakatumia kwenye m4c, lakini m4c hiyohiyo inaonekana kuwa financed na pesa za ruzuku. Hapohapo michango ya m4c ya wananchi imefinance na hesabu zake ni siri ya waliokusanya.
Mradi mmoja unakuwa financed na sources tatu. Sabodo akaona upuuzi. Amecancel ahadi nyingine zote mpaka apate ripoti itakayomridhisha ya matumizi ya pesa za awali. Amekataa ripoti kuwa pesa zimetumika kwenye m4c kwa sababu vitabu vya chadema vinaonyesha m4c imetumia pesa za ruzuku. Hapohapo watu wote tumeona wananchi wanachanga pesa kwa ajili ya m4c.
 
Mimi nilipoona visima nikadhani Sabodo ametekeleza ahadi yake. Hivi katika hiyo ahadi ni nani aliwalaghai wananchi; ni Sabodo au CHADEMA manake ahadi ya visima ipo kimya wala haitajwi tena!

Ila kuna majimbo visima vya Sabodo vimechimbwa kama kule jimbo la mchinga. Hawa wabunge waliomba moja kwa moja kwa Sabodo bila kupitia chama.
 
MBUNGE wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Abood, ameng'ara mbele ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, baada ya kufanikisha mradi wa uchimbaji wa visima vya maji 23 kwa ajili ya maeneo mbalimbali ya jimbo hilo.

Kinana alizindua mradi huo wa maji ya visima mjini hapa juzi, wakati akiangalia utekelezaji wa Ilani ya CCM na kupokea kero za wananchi ambapo alitumia nafasi hiyo kuzindua visima hivyo ambavyo vimegharimu zaidi ya Sh milioni 363.

Akizungumzia zaidi miradi ya visima hivyo, Kinana, alisema mbunge huyo ameonyesha dhamira ya kweli ya kazi ya uongozi ambayo ameamua kuifanya kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wake.

Alisema umuhimu wa viongozi kuwatumikia wananchi ambao wameamua kuwachagua kwa ajili ya kuwatumikia na uchimbaji wa visima hivyo ni wazi kuwa kazi ya utekelezaji wa Ilani ya CCM inafanyika vizuri na hilo ni jambo jema.

Alisema lengo la CCM ni kuona tatizo la maji linapata ufumbuzi na kilichofanywa na Abood ni moja ya mambo muhimu wakati Serikali nayo ikiendelea kuwatumikia wananchi wake, hasa kwa kuzingatia kuwa CCM ndiyo iliyoshika dola na Ilani yake ndiyo inatekelezwa.

“Abood ameonyesha wazi kuwa anajali wananchi wake, anatambua wajibu wake na hii ndiyo sifa ya uongozi. Naamini kwa kazi hii atakuwa mbunge wenu kwa kipindi kirefu ndani ya jimbo hilo. Kila ninakopita naona anashangiliwa na wananchi wake na wanampenda,” alisema Kinana.
kina abood wanatumia vipesa vyao kuwakandamiza wana morogoro, hayo ndo mafisadi papa, waarabu ni janga kwa taifa letu!
 
chadema walipewa pesa za awali na Sabodo wakatumia kwenye m4c, lakini m4c hiyohiyo inaonekana kuwa financed na pesa za ruzuku. Hapohapo michango ya m4c ya wananchi imefinance na hesabu zake ni siri ya waliokusanya.
Mradi mmoja unakuwa financed na sources tatu. Sabodo akaona upuuzi. Amecancel ahadi nyingine zote mpaka apate ripoti itakayomridhisha ya matumizi ya pesa za awali. Amekataa ripoti kuwa pesa zimetumika kwenye m4c kwa sababu vitabu vya chadema vinaonyesha m4c imetumia pesa za ruzuku. Hapohapo watu wote tumeona wananchi wanachanga pesa kwa ajili ya m4c.
haaa mkuu wamekopeshana tena nn?
 
MBUNGE wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Abood, ameng'ara mbele ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, baada ya kufanikisha mradi wa uchimbaji wa visima vya maji 23 kwa ajili ya maeneo mbalimbali ya jimbo hilo.

Kinana alizindua mradi huo wa maji ya visima mjini hapa juzi, wakati akiangalia utekelezaji wa Ilani ya CCM na kupokea kero za wananchi ambapo alitumia nafasi hiyo kuzindua visima hivyo ambavyo vimegharimu zaidi ya Sh milioni 363.

Akizungumzia zaidi miradi ya visima hivyo, Kinana, alisema mbunge huyo ameonyesha dhamira ya kweli ya kazi ya uongozi ambayo ameamua kuifanya kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wake.

Alisema umuhimu wa viongozi kuwatumikia wananchi ambao wameamua kuwachagua kwa ajili ya kuwatumikia na uchimbaji wa visima hivyo ni wazi kuwa kazi ya utekelezaji wa Ilani ya CCM inafanyika vizuri na hilo ni jambo jema.

Alisema lengo la CCM ni kuona tatizo la maji linapata ufumbuzi na kilichofanywa na Abood ni moja ya mambo muhimu wakati Serikali nayo ikiendelea kuwatumikia wananchi wake, hasa kwa kuzingatia kuwa CCM ndiyo iliyoshika dola na Ilani yake ndiyo inatekelezwa.

“Abood ameonyesha wazi kuwa anajali wananchi wake, anatambua wajibu wake na hii ndiyo sifa ya uongozi. Naamini kwa kazi hii atakuwa mbunge wenu kwa kipindi kirefu ndani ya jimbo hilo. Kila ninakopita naona anashangiliwa na wananchi wake na wanampenda,” alisema Kinana.

Mkuu tuoneshe picha maana nimeziona, hajachimba visima bali amenunua tank za plastic maarufu kama'simtank' za lita 5000 kilamoja ambazo ni wastani wa familia moja kwa matumizi ya kawaida kwa siku tatu lakini zimetolewa kila kimoja kwa kata moja yenye familia zaidi ya 100. CCM na Aboud wana uwezo zaidi ya hilo walilolifanya
 
.huyu mbunge anafanya mengi sana mazuri.yupo karibu na wananchi na mara zote anapatikana jimboni na kutatua matatizo yetu wana moro mjini.hajui kutunisha misuli bungeni kwa kuwa ni mbunge wa vitendo.myonge myongeni haki yake mpeni.wabunge wangapi wa upinzani hasa chadema wamefanya kama mheshimiwa abood?tuache ushabiki wa kitoto.
 
kina abood wanatumia vipesa vyao kuwakandamiza wana morogoro, hayo ndo mafisadi papa, waarabu ni janga kwa taifa letu!
NDUGU YANGU INAELEKEA WEWE NI MBAGUZI KWELI KWELI NA NADHANI WW SIO MTANZANIA.KATIBA YETU INASEMA WATANZANIA WOTE NI SAWA BILA YA KUJALI DINI,RANGI,KABILA.PIA INAELEKEA UELEWA WAKO WA LUGHA YA KISWAHILI NI MDOGO SANA HUJUI MAANA YA NENO UFISADI.ITABIDI UNIPE ANWANI YAKO NIKUFUNZE LUGHA YETU YA KISWAHILI.BABA WA TAIFA ALISEMA WAKATI WA UHAI WAKE KUWA HATA HAPA KWETU TUNAO MAKABURU AMBAO HUBAGUA WASIO WEUSI NA NADHANI WW NI MMOJAWAPO.:-*:tape2:
 
MBUNGE wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Abood, ameng'ara mbele ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, baada ya kufanikisha mradi wa uchimbaji wa visima vya maji 23 kwa ajili ya maeneo mbalimbali ya jimbo hilo.

Kinana alizindua mradi huo wa maji ya visima mjini hapa juzi, wakati akiangalia utekelezaji wa Ilani ya CCM na kupokea kero za wananchi ambapo alitumia nafasi hiyo kuzindua visima hivyo ambavyo vimegharimu zaidi ya Sh milioni 363.

Akizungumzia zaidi miradi ya visima hivyo, Kinana, alisema mbunge huyo ameonyesha dhamira ya kweli ya kazi ya uongozi ambayo ameamua kuifanya kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wake.

Alisema umuhimu wa viongozi kuwatumikia wananchi ambao wameamua kuwachagua kwa ajili ya kuwatumikia na uchimbaji wa visima hivyo ni wazi kuwa kazi ya utekelezaji wa Ilani ya CCM inafanyika vizuri na hilo ni jambo jema.

Alisema lengo la CCM ni kuona tatizo la maji linapata ufumbuzi na kilichofanywa na Abood ni moja ya mambo muhimu wakati Serikali nayo ikiendelea kuwatumikia wananchi wake, hasa kwa kuzingatia kuwa CCM ndiyo iliyoshika dola na Ilani yake ndiyo inatekelezwa.

"Abood ameonyesha wazi kuwa anajali wananchi wake, anatambua wajibu wake na hii ndiyo sifa ya uongozi. Naamini kwa kazi hii atakuwa mbunge wenu kwa kipindi kirefu ndani ya jimbo hilo. Kila ninakopita naona anashangiliwa na wananchi wake na wanampenda," alisema Kinana.


Hata uchimbe visima milioni moja haisaidii kama mwakilishi huyo hazungumzii matatizo sugu yanayowakabili wana morogoro.

Wanamji kasoro bahari wanahitaji kifaa watakachokituma kikatumika,wanahitaji mbunge atakaye vaa viatu vyao na si huyo --------- anayefisadi rasilimali zetu na kuturudishia kidogo kwa mlango wa nyuma.

Tumeamka vya kutosha na leo tunafahamu kuwa kazi ya mbunge si kuchimba visima,kusomba watu kwenye mabasi kuwapeleka mikutanoni wala kuwabeba wanainchi bure bila kulipa nauli kwenye mabasi yake.
 
Back
Top Bottom