kukumega
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 1,134
- 475
Kwani wewe wanakusifia umefanya lipi la maana?Upumbavu mtupu hivi huyu magufuli mnaemsifia kufanya mambo makubwa ni yapi hata yenye manufaa ya moja kwa moja kwa wananchi
Kwani wewe wanakusifia umefanya lipi la maana?Upumbavu mtupu hivi huyu magufuli mnaemsifia kufanya mambo makubwa ni yapi hata yenye manufaa ya moja kwa moja kwa wananchi
Unasema? Chadema ni taasisi ya DjCHADEMA ni Taasisi haiwezi kufa
Ningependa awe muwazi, kama ni kumuunga mkono JPM, aseme ninamuunga mkono ila nikiwa chadema, ingawa sipendezwi huyu jamaa kufanya kazi chama kimoja na kina Mbowe. Hastahili kuwepo ktk chama cha kinafiki kama chadema ya mbowe.
CHADEMA INASHINDWA KUWASAMINI WAFIA CHAMA CHAOKANU ilikufa natural death na sio kwa ghiliba na hujuma mzifanyazo, chadema itaendelea kuwa taasisi imara yenye tumaini la Watanzania.
UTASUBIRIA SANA MANUFAA YA MOJA KWA MOJA. SERIKALI HAIWEZI KUKUFANYIA KILA KITU, BALI UNATAKIWA UFANYE KAZI. KWAHIYO NDUGU "FANYAKAZI"Upumbavu mtupu hivi huyu magufuli mnaemsifia kufanya mambo makubwa ni yapi hata yenye manufaa ya moja kwa moja kwa wananchi
Kajifunze kwanza kuandika kiswahili ndo uje, sijui ndo mkimbizi au muda wakwenda shule uliutumia kwenda kuchunga ngombeKapigiwe lamuli utaelewa tu
Kama una uhakika na unayoaamini ni sawa tu, kwani akiondoka unadhani watu milioni 5 waliokuwa wanaiunga CDM watakuwa wameisha au ndo wataendelea kuongezeka. Fikiria chama kama kanisa, the more people go the more they come in.Huyu jamaa namkubali sana, angekuwa anatoka kaskazini, angekuwa kapewa wadhifa mkubwa sana chamani maana ana uwezo ila ndio hivyo tena. Yuko relaxed na hakurupuki. Hastahili kuwapo chadema hii ya Dj.
Mkuu Usifananishe na Kampuni Kampuni zina Perpetual Succession ila Chama/taasisi zinakufa KANU ya Kenyatta iko wapi?
Yaani Chama Kinakufa bado Unaleta Ujuaji?