JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
Jamani naombeni mnisadie kujua kuwa mbunge wa jimbo la Rorya, Mh. Lameck Okambo Airo (CCM) yuko bungeni Dodoma au yuko wapi? Na kama yuko bungeni anafanya nini kwani hajaongea hata siku moja pale bungeni na wanarorya wana matatizo mengi ambayo walitegemea kuwa yangeongelewa bungeni na huyu mbunge wao Lameck O. Airo. Wanarorya tunataka kujua hatima ya Rorya na huyo mbunge wa Rorya ambaye ameshindwa kuzungumzia matatizo ya Rorya pale bungeni.
Je, wanarorya tuna mbunge au hatuna mbunge? Mnisaidie!
Je, wanarorya tuna mbunge au hatuna mbunge? Mnisaidie!