Lukwafya bhagasi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 1,236
- 1,249
Masisiemu yamejawa chuki sanawamezoea kuroga bc kila mtu wanamuona mchaw
Lukwafya
Masisiemu yamejawa chuki sanawamezoea kuroga bc kila mtu wanamuona mchaw
Tupe picha ya wakati huo kudhibitishaKweli mkuu, hata wakati ule alipokuwa anakutana na wale wezi wa madini yetu alikuwa na tabasamu kweli. Sina uhakika kama alikuwa hajui kuwa alikuwa anaisaliti nchi yake.
My future President! The people's voice![HASHTAG]#Picha[/HASHTAG] Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki,Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Raisi wa TLS Tundu Lissu akiendelea kufanya mazoezi akiwa hospital nchini
Ubelgiji ambapo anaendelea na matibabu baada ya kupigwa risasi watu wasiojulikana.
Hakika Mungu ni mwema sana Tundu Lissu Mungu ana mpango mkubwa sana na yeye.
Tundu Lissu anaonekana akiwa na tabasamu nzito sijui wale watesi wanajisikiaje baada ya mpango wao kumuua kufeli.
[HASHTAG]#PRAYFOETUNDULISSU[/HASHTAG]
View attachment 674982 View attachment 674983
Kabembee na wewe basi, watu wengine sijui huwa mnafikiria kwa kutumia masabuli.haya mabembea hata Hospitali ya Mwananyamala wanayoau ndiyo Zile kasumba za kuhusudu wazungu