Mbunge wa Hai (CCM) Saasisha Mafuwe adai kumtumia salamu Mbowe, asema wao wamemuomba Mungu ili awasamehe

Huyu ndio yule aliemnyima usingizi Mbowe kipindi kile cha uchaguzi!

View attachment 2144688

1646843349501.png
 
Tsh bilion 1.5 zilizotolewa na samia ukaamua kwenda kujenga barabara moja tu kwenye kata moja kati ya kata 17 , itakugwarimu mwaka 2025.

Tena barabara inayojengwa inaelekea nyumbani kwako na hukukubali kufuata maelekezo ya Rais kuhusu kila kijiji au kata kupata fedha hizo za barabara.

Usipoteze nguvu nyingi na muda mwingi ukidhania utarudi tena , na Hai ni nadra kukupa kura mara ya pili.
Anza kutafuta kazi ya kufanya muda ukifikia
Bilioni 1.5 zinaweza kujenga barabara kilometa ngapi za lami, vumbi au changarawe?
 
Mh Saashisha, ambaye alijulikana kama Team Sabaya, kutokana na kuwa bega kwa bega na Sabaya kwenye mambo yote, leo amedai hadharani kwamba amemtumia salamu Freeman Mbowe siku ile ile aliyotoka gerezani, huku akifunguka kwamba Wao wamekwishatubu kwa Mungu ili awasamehe...
Huo msamaha ungekua na tija kama angeamua kujiudhuru kwakua hakuchaguliwa kihalali na akujutia madhambi waliyofanya sio anacheza na akili zetu kujifanya anaomba msamaha wakati kula yake hadi leo ni zao la matendo maovu waliyomfanya mbowe
 
Bilioni 1.5 zinaweza kujenga barabara kilometa ngapi za lami, vumbi au changarawe?
Zilitengwa kutengeneza barabara za changarawe. Rais hakua mjinga kutenga 1.5 bilion kwa kila jimbo? Alijua fedha zitatosha kuokoa maskini walioko vijijini.

Tatizo saashisa anatumia mbinu mbovu na kujifanya anajuana na manaibu mawaziri ili kuvujisha fedha za umma.
Saashisha amekalia kuti kavu
 
FAM hatogombea tena. Nafikiri atakwenda Lema safari hii. Na Arusha watapeleka mtu mwingine
 
wa kama kulikuwa na matatizo yoyote ama kama walimuumiza yoyote wakati wa Uchaguzi, ameendelea kufunguka kwamba anaamini Mungu amewasame
Mtu unaomba msamaha kijinga hivi?

Mimi sio Mungu, lakini sidhani kuwa Mungu anakubaliana na upuuzi kama huu wa mtu anayeomba msamaha asijue "kama kulikuwa na matatizo yoyote, au kama walimuumiza yeyote...". Sasa msamaha anaomba wa nini?
 
Hizo fedha walipewa wabunge au wakurugenzi wa Halmashauri?
Zilitengwa kutengeneza barabara za changarawe. Rais hakua mjinga kutenga 1.5 bilion kwa kila jimbo? Alijua fedha zitatosha kuokoa maskini walioko vijijini.

Tatizo saashisa anatumia mbinu mbovu na kujifanya anajuana na manaibu mawaziri ili kuvujisha fedha za umma.
Saashisha amekalia kuti kavu
 
Huo msamaha ungekua na tija kama angeamua kujiudhuru kwakua hakuchaguliwa kihalali na akujutia madhambi waliyofanya sio anacheza na akili zetu kujifanya anaomba msamaha wakati kula yake hadi leo ni zao la matendo maovu waliyomfanya mbowe
Nafikiri bado anatafakari ili ajiuzulu au la
 
Mh Saashisha, ambaye alijulikana kama Team Sabaya, kutokana na kuwa bega kwa bega na Sabaya kwenye mambo yote, leo amedai hadharani kwamba amemtumia salamu Freeman Mbowe siku ile ile aliyotoka gerezani, huku akifunguka kwamba Wao wamekwishatubu kwa Mungu ili awasamehe...
 
Mh Saashisha, ambaye alijulikana kama Team Sabaya, kutokana na kuwa bega kwa bega na Sabaya kwenye mambo yote, leo amedai hadharani kwamba amemtumia salamu Freeman Mbowe siku ile ile aliyotoka gerezani, huku akifunguka kwamba Wao wamekwishatubu kwa Mungu ili awasamehe...
Akae mkao wa kula,avae na kanga Moko,aliyemuweka hapo,ameishaondoka,sasa mwanaume FAM amekuja!
 
Back
Top Bottom