ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Huyu ni mnafiki.Siku zote mheshimiwa akiwa mahabusu, alinyamaa kana kwamba hayupo.Leo hii anajifanya rafiki.Namshauri aendelee kukaaa kimya.Tsh bilion 1.5 zilizotolewa na samia ukaamua kwenda kujenga barabara moja tu kwenye kata moja kati ya kata 17 , itakugwarimu mwaka 2025...
Bilioni 1.5 zinaweza kujenga barabara kilometa ngapi za lami, vumbi au changarawe?Tsh bilion 1.5 zilizotolewa na samia ukaamua kwenda kujenga barabara moja tu kwenye kata moja kati ya kata 17 , itakugwarimu mwaka 2025.
Tena barabara inayojengwa inaelekea nyumbani kwako na hukukubali kufuata maelekezo ya Rais kuhusu kila kijiji au kata kupata fedha hizo za barabara.
Usipoteze nguvu nyingi na muda mwingi ukidhania utarudi tena , na Hai ni nadra kukupa kura mara ya pili.
Anza kutafuta kazi ya kufanya muda ukifikia
Huo msamaha ungekua na tija kama angeamua kujiudhuru kwakua hakuchaguliwa kihalali na akujutia madhambi waliyofanya sio anacheza na akili zetu kujifanya anaomba msamaha wakati kula yake hadi leo ni zao la matendo maovu waliyomfanya mboweMh Saashisha, ambaye alijulikana kama Team Sabaya, kutokana na kuwa bega kwa bega na Sabaya kwenye mambo yote, leo amedai hadharani kwamba amemtumia salamu Freeman Mbowe siku ile ile aliyotoka gerezani, huku akifunguka kwamba Wao wamekwishatubu kwa Mungu ili awasamehe...
Zilitengwa kutengeneza barabara za changarawe. Rais hakua mjinga kutenga 1.5 bilion kwa kila jimbo? Alijua fedha zitatosha kuokoa maskini walioko vijijini.Bilioni 1.5 zinaweza kujenga barabara kilometa ngapi za lami, vumbi au changarawe?
Acha kumzushia mwenzako uongo.Wachaga wote watamkimbia Ole sabaya!
Dogo alijisahau sana eti na yeye alitaka kugombea ubunge wa jimbo la Hai.
Mwenzangu nani bwashee!Acha kumzushia mwenzako uongo.
SabayaMwenzangu nani bwashee!
Mtu unaomba msamaha kijinga hivi?wa kama kulikuwa na matatizo yoyote ama kama walimuumiza yoyote wakati wa Uchaguzi, ameendelea kufunguka kwamba anaamini Mungu amewasame
Zilitengwa kutengeneza barabara za changarawe. Rais hakua mjinga kutenga 1.5 bilion kwa kila jimbo? Alijua fedha zitatosha kuokoa maskini walioko vijijini.
Tatizo saashisa anatumia mbinu mbovu na kujifanya anajuana na manaibu mawaziri ili kuvujisha fedha za umma.
Saashisha amekalia kuti kavu
Nafikiri bado anatafakari ili ajiuzulu au laHuo msamaha ungekua na tija kama angeamua kujiudhuru kwakua hakuchaguliwa kihalali na akujutia madhambi waliyofanya sio anacheza na akili zetu kujifanya anaomba msamaha wakati kula yake hadi leo ni zao la matendo maovu waliyomfanya mbowe
Mh Saashisha, ambaye alijulikana kama Team Sabaya, kutokana na kuwa bega kwa bega na Sabaya kwenye mambo yote, leo amedai hadharani kwamba amemtumia salamu Freeman Mbowe siku ile ile aliyotoka gerezani, huku akifunguka kwamba Wao wamekwishatubu kwa Mungu ili awasamehe...
Jamaa amejikaza sana lakini inaonesha ana uchungu kwa maovu waliyofanya Oktoba 2020Nafikiri bado anatafakari ili ajiuzulu au la
Hakuna mkurugenzi wa jimbo . Kuna mbunge wa jimbo. Fedha walipewa wabunge wenye majimbo.Hizo fedha walipewa wabunge au wakurugenzi wa Halmashauri?
Kila ubaya utalipwaJamaa amejikaza sana lakini inaonesha ana uchungu kwa maovu waliyofanya Oktoba 2020
Akae mkao wa kula,avae na kanga Moko,aliyemuweka hapo,ameishaondoka,sasa mwanaume FAM amekuja!Mh Saashisha, ambaye alijulikana kama Team Sabaya, kutokana na kuwa bega kwa bega na Sabaya kwenye mambo yote, leo amedai hadharani kwamba amemtumia salamu Freeman Mbowe siku ile ile aliyotoka gerezani, huku akifunguka kwamba Wao wamekwishatubu kwa Mungu ili awasamehe...