SR senior
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 358
- 67
Asante mkuu ngoja nisubiri uthibitisho,,,
aghrrrrrr!!!!!
Asante mkuu ngoja nisubiri uthibitisho,,,
Tunasubiri uthibitisho!!!! HatujakuelewaWanabodi,
Katika pita pita yangu viunga fulani hapa mjini Dodoma, nimepita mahali nikukata baadhi ya watu na heshima zao, wakimsifu huyu mbunge kijana wa CCM, Mhe, Esta Bulaya, kuwa amefanya tukio la ushajaa mkubwa katika medani za siasa.
Kwa jinsi nilivyosikia kuhusu alichokifanya mbunge huyu, naomba nikiache kwanza kama tetesi, na nikisha thibitisha, nitarejea kuwapatia ushujaa huo wa Mhe. Esta Bulaya!.
Kwa kusaidia tuu, ni kuwa mbunge huyu, amefanya kitendo fulani cha kishujaa kwa kuweka mbele maslahi ya taifa ambapo amesimama kuhesabiwa miongini mwa wabunge wachache wa CCM wenye uchungu wa ukweli na umasikini wa nchi hii, kinyume cha wengi wa wabunge wa CCM ambao wameingia bungeni kwa drive ya njaa zao kutafuta maslahi binafsi badala ya maslahi ya taifa, hivyo wanachosimamia mule bungeni, ni matumbo yao tuu!.
Natafuta uthibitishyogo!.
Wasalaam.
Pasco.
Dodoma!.
Kabla ya huo ushujaa, Mhe. Ester Bulaya aliripotiwa hivi humu jf
[h=2]"Re: Godfrey Zambi na Ester Bulaya bungeni waitabiria CCM yao kuanguka mwaka 2015"[/h]
kwahio hapa mmefungua hii thread ili kumtukana mjinga au kumwambia mjinga kwamba ni mjinga...In short wewe humjui Pasco au unaendelea ujinga wake tunaoujua. Period.
Tunasubiri uthibitisho!!!! Hatujakuelewa
Unafahamu maana ya 1st April!!??....
Mie nadhani huu ndio mwezi wao kuanzia mwanzo mwishoIle siku yao eeh?
Bora ungesubiri kuliko kuharakisha kutoa ujinga ambao siwezi kuita taarifa wala ujumbe kwani haiweleki nini? Leo ni jumapili kwa hiyo watu wako na familia zao usiwaaribie weekend zao kwa mambo ya kizushi
Wakuu JF
Huyu PASCO asiwapotezee muda, , hayupo dodoma muongo, nipo naye hapa msasani pub kalewa chakali, hata viatu vyake havioni, nataka nikamnunulie ndala ili tuondoke.
Mytake: apigwe Ban ya maisha
mhuu! Unataka kusema analala nao au anazini nao?Du una maana huyu jamaa anatembea na wake za watu au analala nao?