multmandalin
JF-Expert Member
- Sep 8, 2012
- 2,030
- 576
TBC nayo bana, yaani wiki mbili hizi inatuvuruga!Hahahaaaa..... Nimemsikia mubashara kupitia TBC sema jina lake ndio nimelisahau!
TBC nayo bana, yaani wiki mbili hizi inatuvuruga!Hahahaaaa..... Nimemsikia mubashara kupitia TBC sema jina lake ndio nimelisahau!
Ndio huyo, kamuelewa vibayaKama ni yule alietolea mfano wa Harusi basi umemuelewa sivyo
Kwahiyo kukaa mbele ni hitaji la wananchi wake huko jimboni kwake?
Gwaji mwenyewe ni mbunge wa ccm. Kundi lake analijua hata kabla ya hilo sakata.Wabunge CCM ni wanafiki Sana, na bunge lao ni dhaifu Sana! Wanachuki binafsi baina yao!
Kwenye sakata hili, Gwajima kashajua yupi rafiki wa kweli!
Hao naona wamepumbazwa na moshi wa mwen.gTatizo CCM mnaendeshwa na fikra za mwenye kiti, na hii Ni hatari Sana!
Hamjijengi na kujipima uwezo wa kifikra baina yenu, m/kit akisema hlo halina mjadala!
Hapa tuko sawa__________NDIYO
Au tumekosea____________NDIYO
Hawaeleweki, walipopiga pambio za kupinga sayansi, kukataa chanjo na kuleta uchafu wa miziz na kujifukiza ni hao hao ambao Sasa wanazipigia pambio chanjo! Yan ipo cku m/kit atawaambia kuleni mavi na mtakula kwa sababu m/kit kasema!
Enyi Wana CCM ni nani aliyewaloga??
Hotuba ya yule mbunge ilijaa mafumbo,nahau na tashtiti nyingi huwezi kuielewa kwa urahisi kama umeichukua kama ilivyo,kifupi mbunge alifikisha ujumbe kwa gwajima kwamba yeye ni mchanga sana bungeni hivyo asijifanye mjuaji kuliko wakongwe,hili ndilo lilikua fumbo lakukaa kiti cha mbele na kukaa kiti cha nyuma.Ukiisoma biblia kama shekhe Mazinge lazima utapotosha uma.Sikuwahi kufikiri kwamba hata wabunge huwa wanaoneana wivu kwa vitu vidogo vidogo kabisa
Yaani mbunge mzima anasimama na kuanza kulalamika kwamba yuko bungeni siku nyingi lakini bado anakaa kiti cha nyuma lakini askofu Gwajima kaja juzi tu kapewa kiti cha mbele anaangaliana na mh Spika
Kumbe ndio maana Rostam Aziz aliuponda ubunge.
Kama kuna mbunge kasema hivyo basi ama ni mjinga au hajui nini maana ya back Bencher. Wabunge wanaokaaga nyuma ni ma veteran na wanakuaga hawachagui kama wapo upinzani ama la inakuaga lazima kuwa treat with care kwenye mabunge ya maanaSikuwahi kufikiri kwamba hata wabunge huwa wanaoneana wivu kwa vitu vidogo vidogo kabisa
Yaani mbunge mzima anasimama na kuanza kulalamika kwamba yuko bungeni siku nyingi lakini bado anakaa kiti cha nyuma lakini askofu Gwajima kaja juzi tu kapewa kiti cha mbele anaangaliana na mh Spika
Kumbe ndio maana Rostam Aziz aliuponda ubunge.
Hata mimi nafikiria hivyo maana ma veteran ndiyo hukaa nyuma na si mbele. Lile lilikua dongo na si malalamikoHotuba ya yule mbunge ilijaa mafumbo,nahau na tashtiti nyingi huwezi kuielewa kwa urahisi kama umeichukua kama ilivyo,kifupi mbunge alifikisha ujumbe kwa gwajima kwamba yeye ni mchanga sana bungeni hivyo asijifanye mjuaji kuliko wakongwe,hili ndilo lilikua fumbo lakukaa kiti cha mbele na kukaa kiti cha nyuma.Ukiisoma biblia kama shekhe Mazinge lazima utapotosha uma.
Nakushauri rudia kusikiliza clip vizuri.
Communism si socialism meku.....Unamaanisha communist party , kama vile vya China na Cuba
Vipi Nyerere aliyewahi kusema CCM inanuka rushwa?Gwajima si MWANACCM kindakindaki.....
Hakuna mwanaCCM aliyeivishwa katika MADARASA ya ITIKADI akawa na hulka za Gwajima.......
Gwajima alibebwa na hayati JPM....
HASHTAG CCM IMFUKUZE GWAJIMA
#CCMkwanzaKablaYaYeyote
Hiyo ni tafsiri yako.Wewe kamsikilize tena jamaa YouTube ndio utamuelewa
Alikuwa akitolea mfano kwenye Biblia na kusema ukialikwa kwenye harusi usikae viti vya mbele, kwani vinaweza kuwa vimetengwa kwa wageni maalumu
Akasema Gwajima amealikwa (CCM) na kupewa kiti cha mbele lakini anafanya vituko
Kama unaelewa fasihi, kuwekwa kiti cha mbele hamaanishi kiti cha kukalia, anamaanisha kupewa umuhimu na upendeleo kuliko hata wale wakongwe
Ni mbunge yupi wa CCM ambaye hakubebwa na mwendakuzimu!!??Gwajima si MWANACCM kindakindaki.....
Hakuna mwanaCCM aliyeivishwa katika MADARASA ya ITIKADI akawa na hulka za Gwajima.......
Gwajima alibebwa na hayati JPM....
HASHTAG CCM IMFUKUZE GWAJIMA
#CCMkwanzaKablaYaYeyote
Kinyago wamekichonga wenyewe, sasa kinawatisha, si wakitupe??Uzuri ni kuwa Gwajiuno mwenyewe walimpa hiyo nafasi kimagumashi gumashi na anawaumiza wao
Hahahaaaaa.Mh.Kirumbe Ng'enda ni mkomavu wa SIASA za CCM zaidi ya huyo Gwajima.....
Mh.Kirumbe Ng'enda amesimamia misingi ya CCM....
ENDELEENI KUUFUKUZA UPEPO
#CCMKablaYaYeyoteYule
🤣Kinyago wamekichonga wenyewe, sasa kinawatisha, si wakitupe??
Privileges za watu wa mwendazake na Ndugai hakuwa jinsi, maana allikuwa naye ni mgonjwa ghali kuliko wote.
Everyday is Saturday............................... 😎
Wanaccm bila ubunge ni sawa na wauza nyama wa kona barSikuwahi kufikiri kwamba hata wabunge huwa wanaoneana wivu kwa vitu vidogo vidogo kabisa
Yaani mbunge mzima anasimama na kuanza kulalamika kwamba yuko bungeni siku nyingi lakini bado anakaa kiti cha nyuma lakini askofu Gwajima kaja juzi tu kapewa kiti cha mbele anaangaliana na mh Spika
Kumbe ndio maana Rostam Aziz aliuponda ubunge.
Komredi Kinana alimshambulia wapi Rais wa nchi?Vipi Nyerere aliyewahi kusema CCM inanuka rushwa?
Vipi Horace Kolimba alisema imepoteza mwelekeo...