amanimaendeleo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 251
- 75
Nafikiri mbunge analipwa kutokana na bajeti ya serikali, sasa sijui huyu martha alikuwa anaenda kuomba ela kwa wafadhili au shopping ?
Tuendeleeni kushabikia...
Polepole tutasagameno...
Sasa ni dhahiri hujui Utumishi wa Umma. Kwa hiyo kumbe serikali ikisema imeongeza ajira kwa watumishi wa umma, huwa unahesabu na wabunge pia?Kama hujui kitu bora kuuliza.aliyekwambia mbunge si mtumishi wa umma nani? Kwa hiyo anamtumikia nani sasa?
Kodi ilikuwa yetu kabla hajafanya kazi, akishafanya kazi akalipwa mshahara, sio kodi yetu tena bali ni hela yake halali.Huyu mbunge alikuwa anaenda kwa hawara yake huko nje kwa kodi zetu?
Labda swali ni hili Huyu unaemuita mtumishi wa watu analipwa pesa zipi??? Kwa nijuavyo ni kuwa Bunge linatengewa pesa na Serikali... So kama wabunge wanalipwa na Serikali then wana fall in the same category... Hakuna Kusafiri mpaka Kibali kitoke IKULU.... Kwani hivyo Vibali havitoki??? SAFI SAAANA JPMHuu ni uonevu, umbumbumbu wa sheiria na ujuha tuu!, mbunge sio mtumishi wa serikali, ni mtumishi wa watu!.
Pasco
Awajibika kwa spika na katibu wa Bunge.Kwahiyo mbunge naye anawajibika kwa katibu mkuu kiongozi?(Ombeni Sefue)
wabunge shughuli zao ni kwenye majimbo sio nje ya nchi..kila mhimili udhibiti watu wake.
..safari za wabunge ziidhinishwe na katibu wa bunge.
..mawaziri wapate kibali cha waziri mkuu.
..safari za watumishi wa serikali ziidhinishwe na katibu mkuu kiongozi.
..pia haiwezekani mtumishi wa serikali asafiri bila katibu mkuu wa wizara kufahamu. kwasababu masuala ya ununuzi wa ticket, posho, etc yote gharama zake huidhinishwa na makatibu wakuu.
..hata huyo Mbunge Mlata kama alikuwa anasafiri kwa shughuli za kibunge, basi Katibu wa bunge lazima atakuwa anafahamu, na ameidhinisha gharama za safari hiyo. Vinginevyo labda Mama Mlata ameamua kufanya "kazi ya kanisa."
cc Pasco, Richard
Vijana wa siku hizi kwa kuchanganya mambo! mbunge ni mtumishi wa umma ila siyo civil servanthilo agizo haliwahusu wabunge wanaosafir kwa shughuli zao binafsi labda kama safar yake inalipiwa na serikali.
Mbunge si mtumishi wa umma
serikali ndio watu. hapa kazi tu.Huu ni uonevu, umbumbumbu wa sheiria na ujuha tuu!, mbunge sio mtumishi wa serikali, ni mtumishi wa watu!.
Pasco
wabunge shughuli zao ni kwenye majimbo sio nje ya nchi
Ok, unaweza pitia znz kwenda abroad, lakini Pombe akigundua huwa haundi tume, ni action papo kwa papo.Wabunge na maofisa wa serikali. NJIA MBADALA
Pitieni Uwanja wa kimataifa wa Zanzibar kwa kusafiria hamtaulizwa kibali. Chukua boti fika Zanzibar chukua tiketi yako utakwenda kokote. Usikibali kuwa mfungwa, kuwa huru
hizo sio sera za CCM!..hilo halina mjadala.
..hoja yangu ni kwamba masuala ya wabunge yashughulikiwe na Spika na Katibu wa Bunge.
..nadhani ni makosa kuwalazimisha wabunge wapate vibali vya safari toka kwa Katibu Mkuu Kiongozi.
..pia masuala ya watumishi wa serikali yashughulikiwe na Raisi, Waziri Mkuu, na Katibu Mkuu Kiongozi.
km ni mtumishi wa watu analipwa na nan na je serikali ni nani fikilia kwa kiwango chakoHuu ni uonevu, umbumbumbu wa sheiria na ujuha tuu!, mbunge sio mtumishi wa serikali, ni mtumishi wa watu!.
Pasco