Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,208
kwani Mbunge wetu Lema ameua? MAGAMBA mnampa lema Airtime na Headlines mnaendelea kumpa promo
promo ya mauaji we kweli unatumia masabur kufikili
kwani Mbunge wetu Lema ameua? MAGAMBA mnampa lema Airtime na Headlines mnaendelea kumpa promo
Wamekuta mikanda mingine ya kigaidi?
Mkuu, corruption ni kitu kibaya, taifa linapogubikwa na janga la aina hiyo ni balaa tupu, sijui tunaoelekea, maana posho sasa ndiyo kipaumbele na watoa posho sasa kibao!Hivi tulivyoelezwa kuwa kuna watu wameingia JF kama sehemu ya ajira na wanatoa mada kwa kulipwa yawezekana ni kweli; au ndiyo mambo ya ajira kwa vijana? Kweli mwaka huu tutasoma mada zisizo na kichwa na miguu bora tu watu wanafukuzia posho zao kupitia m pesa.
Yaani katika mazungumzo hayo yote hajazungumzia kifo cha mwanafunzi? Jamani kuna watu wana roho ngumu!Mkuu wa mkoa wa Arusha Magessa Mulongo amesema kwamba Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema alifanya kile alichokuwa anakitafuta muda mrefu kuchochea wanafunzi wamzomee ili aaibike mbele ya wananchi anaowaongoza.
Mkuu huyo wa mkoa pia amesema kwamba anashangazwa na Lema kujificha na kama asingekuwa na kosa asingejificha.
Mkuu huyo wa mkoa ameongeza kwamba Lema anatakiwa kusaidia polisi kuhusu vurugu zilizotokea na akasema maelezo yake pia yanahitajika kabla ya hatma ya wanafunzi 13 wanaoshikiliwa kujulikana.
Pia Mulongo amekanusha kumtumia ujumbe wa vitisho Mbunge Lema na kusema kwamba hawezi kufanya hivyo.
Katika hali ya kukata tamaa mkuu huyo wa mkoa amesema'''Inatakiwa Lema abadilike jamani''''' Alisema kwa kifupi bila kufafanua.
Source:Mwananchi.
Wewe si ulikuwa Polisi?wapigie wenzio wa Arusha wakuambie nawe utuambie nasi.Tunaomba updates na pia kama unajua sababu zozote za Llema kukamatwa
KM vipi tuambieni tuje Arusha, hakuna nguvu ya majeshi iliyoshinda nguvu ya UMMA!
slaa alisha hasi dini long time
anamakosa ya uchochez ambao umesababisha kifo cha mwanafunzi.shame on you cdm.
Tunaomba updates na pia kama unajua sababu zozote za Llema kukamatwa
promo ya mauaji we kweli unatumia masabur kufikili
Wewe si ulikuwa Polisi?wapigie wenzio wa Arusha wakuambie nawe utuambie nasi.
Naona uliposikia jina la Kamanda Lema ukaja mbio mbio.Tunaomba updates na pia kama unajua sababu zozote za Llema kukamatwa
Mbebs wa ukweli niPM namba yako kama vipi mrembo? Nimekupenda ghafla kijana mwenzio..nataka nikupe maisha mtoto mzuri, usiogope wala haitaumawe uliitumia wapi kwa mfano
Safi sana jeshi la polisi,kamata magaidi wote
hukusoma sheria za jf...ni marufuku kuanika ID ya mtu humu.utakula ban oooh.he!, kumbe Christopher Mwalukosi!, unogage mvina? bela sa filo? tulipamwi mgoosi.
Siasa za bongo, bora uwe mtazamaji tu.