Oooh, pole sana rais wangu mtarajiwa 2025.
Si katangaza kugombea urais 2025
AtakufaAmekufa hajafa tujue kimoja...
Mungu ampe pumziko la milele
bashe mwenyewe babake ni shehe mkuu wa wilaya na nzega, hata ukienda sasaivi utamkuta anakula mirungi kama hana akili nzuri pamoja na ushehe wake...waulize wakazi wa nzega watakueleza vizuri hawa hamaa walivyo....kigwangara ana kazi nzito..imbombo ngafu kwake aisee.pole mbunge wa nzega...chezea bashe wewe..
Ha ha ha ha Mambo mazito SSM? Akipona atafute dereva mwingine!!!! Kambi ya Bashe ikifadhiliwa na yule fisadi anayehemea urais si ndogo!!!
Jamani hivi mmekuwaje?
Mbona wao hawayutakii mema?mbona haumtakii mema?