BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,988
- 2,012
RIP Kigwagala
????????????????????
RIP Kigwagala
Mungu ampe pumziko la milele
RIP Kigwagala
JF ni balaa,mtu hajafa mnazulia kafa!Mtaacha magamba wachanganyikiwe bure,maana kaende heche sumbawanga watu nyomi,angeenda zito au dk slaa si itakuwa balaa?walikuwepo kina Kolimba, Kambona, Tuntemeke, Sokoine walijaribu kufurukuta lakini wakakutana na waftini wakawamalizia mbali....
Leo naona kuna kina Kigwangalah n.k pia watapita maana CCM ina wenyewe.
????????????????????
RIP Kigwagala
Nimepata taarifa za kusikitisha kwamba Mbunge wa Nzega amepata ajali mbaya baada ya gari aliyokuwa akisafiria kuchomoka tairi. Ajali hii imetokea akiwa njiani kuelekea kwenye mkutano mkuu wa CCM Mkoa. Taarifa hizi zimetangazwa mkutanoni na Katibu wa CCM mkoa huo bwana Ame.
Hii ni ajali ya tatu kumpata ndani ya wiki moja, watu wanajiuliza hivi anatafutwa ama ni bahati mbaya tu?
Amepata ajali hajafa mkuu, sasa apumzike milele wapi, hospital?Mungu ampe pumziko la milele
Kazi ya Mungu haina makosa
Amepata ajali hajafa mkuu, sasa apumzike milele wapi, hospital?