atakua wa CCM tu mkuu.
Lazima atakuaa ni mbunge wa CCM kwakua ndio wanaoongoza kwakuanguka ovyo akiongoza mwenyekiti wao JK
Pombe za jana usiku hizo
kaka a u siriaz?? Atakuwa wa viti maalumJamani natangaza nia,niungeni mkono
kama atakuwa na mama lwakatale itakuwaje?Hata kama Profesa Maji marefu hayupo wangemtumia mama Lwakatare atoe maombi kama lilikua ni pepo!
Hakuna aombae maradhi, binaadam hujafa hujaumbika. Leo wewe mzima usidhani wenzako wanaomba au wanapenda kuanguka. Wewe ulie mzima ukiona hayo kwa wenzako unawaombea yawaondokee na wewe ya sikukute. Si CCM wanaoaunguka, tulishasikia kuwa Slaa alianguka chooni na kuvunjika mkono. Tunamuombea yasimtokee tena matatizo hayo. Nasi Mola atuepushie.Nahisi atakua ni mbunge wa CCM maana ndio wabunge wanaoongoza kwa kuanguka ovyo akiongozwa na mwenyekiti wao!
kaka a u siriaz?? Atakuwa wa viti maalum
Hajajulikana badoHajajulikana tu ni nani?Mbona mwatuweka roho juu tulio mbali na press?
Au usijekuta ni kadikteta Kenu Saanane kanatafuta uchaguzi mdogo kwa nguvu,manake kenyewe ni kaumini kakubwa ka assassination hasa pale kanapotaka kitu/madaraka...kamechinjiwa baharini uenyekiti wa bavicha ninavyokajua katakuwa kanatafuta chaguzi ndogo,nasikia kuna siku kalionekana na Deus mallya makao makuu ya chadema.Chama cha Demokrasia-Mafioso(Chadema)