Mbunge Jumanne Kishimba (CCM) ataka kilimo cha bangi kuhalalishwa nchini Tanzania

Wange ongezea na gongo pia iwe bidhaa huru watu waendelee kuserebuka huku bangi huku gongo , hayo yakiendelea serekali ipate mapato yake kama kawaida kupitia hizo bidhaa
 
Wakishapitisha wakawatoe jela wote waliofungwa kwa makosa ya kulima, kusafirisha, kuuza na kutumia bangi maana kuna waliohukumiwa vifungo hadi vya maisha kwa kosa la kusafirisha mmea huo
 
Tumia akili wewe yeye anaitaza bangi Kama malighafi katika viwanda vya kuzalisha madawa na sio upuuzi unaoufikiria wewe.

Boss much know Rudi shule, Unataka kusema Jamhuri aka Serikali miaka yote hiyo hawajaona hilo ???!!! Simple question, kwanini mpaka sasa Serikali inapiga marufuku Bangi??? !!! Sijui mnatumiaga Matako kufikiri au Akili, Usikute na wewe ni Teja aka Mtumiaji wa Bangi, anaye support huu Upuuzi sio Bure, akapimwe akili.
 
Wasikomee kwenye bangi tu. Kwa kuwa ziko nchi ambazo biashara ya ukahaba inaruhusiwa, na inachangia pato la mataifa hayo kupitia kodi. Basi na hapa waruhusu tu ili tuongeze wigo wa kukusanya kodi. Wahakikishe tu kuwa wale wanaojiuza wanapewa mashine za risiti za kielektoniki. Nawaambia madanguro yatakuwa yanafunguliwa mchana kweupeeee.
 
Boss much know Rudi shule, Unataka kusema Jamhuri aka Serikali miaka yote hiyo hawajaona hilo ???!!! Simple question, kwanini mpaka sasa Serikali inapiga marufuku Bangi??? !!! Sijui mnatumiaga Matako kufikiri au Akili, Usikute na wewe ni Teja aka Mtumiaji wa Bangi, anaye support huu Upuuzi sio Bure, akapimwe akili.
Sasa kati ya Mimi na wewe na arudi shule? Kwani serikali ambazo mwanzo zilipiga marufuku lakini saizi zimeruhusu inamaana mwanzo hazikuona? Acha uchizi wewe
 
Mhe.Kishimba amejenga hoja bungeni kuhusu umuhimu wa kutumia bangi Kama zao la biashara tofauti na Sasa linavyopigwa marufuku.

Amedai gunia la bangi kwa Sasa hapa Tanzania linanunuliwa kwa milioni nne wakati Zimbabwe linanunuliwa kwa dola elfu saba ambazo ni karibia milioni ishiria za Tanzania.

Amewataka wabunge na wananchi wafahamu kuwa dawa za usingizi zinatokana kwa kiasi kikubwa na bangi.

Amehoji Kama japani wanatumia bangi kwa kuvuta na bishara kwanini sisi tusikubali kuruhusu usafirishaji na ulimaji wa bangi.

Bangi soon inakuwa bidhaa halali
Tarime oyeeeeee
 
Kama inauzwa kwa bei hiyo basi ni bora iruhusiwe tu.
Na tuitafutie soko huko Zimbabwe.
Tutawauzia gunia kwa Shilingi milioni Kumi, wao wauze kwa hiyo milioni ishirini.
Hii ni fulsa kubwa sana kwetu watanzania.

Kuhusu kuivuta.
Wanaovuta bangi watavuta tu na wasiovuta hawata vuta, na sio kweli kuwa wote tutaivuta.
Mimi nilishawahi kulima zao LA Tumbaku na sikuwahi kulivuta hadi Leo hii.
Kama bei ya Bangi ndio hiyo basi watu waruhusiwe kuilima na katazo LA kuivuta libaki paleale, itolewe elimu kwa wakulima kuhusu madhara ya bangi kama inavyo tolewa elimu juu ya madhara ya ugonjwa wa Ukimwi katika jamii yetu.
Bangi itatukomboa katika Lindi la umasikini na kuiongezea mapato Serikali.
Tuchangamkie Fulsa.

Kama ilivyo kwenye pombe wwpo wanaokunywa na wasio kunywa.
Au sigara.
Ni maamuzi ya mtu binafsi kuchagua
 
Nilisema sana humu, zao la bangi ni biashara nzuri sana tunaweza kulima kwa ajili ya EXPORT ONLY, tutapata mabilioni ya hela, na nchi nyingi sana duniani watanunua.. Tunakosa hela nyingi sana katika nchi yetu sbb ya utamaduni usio na maana..!!
 
Mi bangi ikihalalishwa nitaacha kuvuta, kwanza itakuwa bei ghari, serikali wakisha ingiza mkono sehemu mambo yanaharibika,
Pili the thrill ya uvutaji itapungua, unajua haramu tamu.. Ukitoa uharamu wake ata hamna raha tena
Sio kweli....

Ikihalalishwa itavutwa na wachache hao hao na pia hakuna impact mbaya kwenye bangi kama ilivyo kwa pombe,sigara na madawa ya kulevya,nchi nyingi zimehalalisha bangi na hakuna madhara yoyote.
 
Aisee we inaonesha, ata bangi hujui inafanya je kazi, mostly mtu akivuta bangi ana sizi tu..
Wanaopiga wake zao asilimia kubwa huwa walevi wa pombe
Ndoa nyingi sana zitakufa...wanandoa watauana na mapanga daily..!Me nitahama nchi kwakwel na wanangu..endeleeni na mauupuzi yenu tu!
Nimeharibu siku ghafla
 
Swali zuri sana, effects za pombe ni kubwa sana ila ni halali
Ukinywa unapoteza hela nyingi, unapata mgonjwa yanapelekea paka kifo
Katika historia ya dunia hakuna record za mtu aliyekufa kwa kuvuta bangi nyingi, kwanza kisanyasi haiwezekani kuoverdose bangi
Hivi kati ya SIGARA POMBE NA BANGI KIPI KINAUA SANA?
AND WHY HIVYO VILIWI INGAWA NI HATARI SANA LAKINI NI HALALI???
 
Huyu jamaa ana msongo wa mawazo na hali yake ngumu ya maisha imemfanya awe chizi
Bangi nimevuta 8yrs,nimesoma na na endesha maisha yangu vizuri nahudumia ofisi vizuri tu..
Pia huwez kuvuta kila siku, ni kama pombe tu ukitaka kulewa kila siku lazima utayumba kimaisha,
Kweli wewe ni chizi fresh lakini usisingizie bangi labda ugumu wa maisha umekufanya uwe chizi.
 
Km bangi ikihalalishwa na waongeze hospitali za vichaa na machizi wataongezeka mana vijana hawafany kaz wapo wapo
Inabidi mje na hoja zingine,hii imekuwa dhaifu kwa sasa.Hii kitu sio nadharia tena,mbona Jamaica na nchi kadhaa uko mbele wame legalize lakini vichaa hawaongezeki?
 
Boss much know Rudi shule, Unataka kusema Jamhuri aka Serikali miaka yote hiyo hawajaona hilo ???!!! Simple question, kwanini mpaka sasa Serikali inapiga marufuku Bangi??? !!! Sijui mnatumiaga Matako kufikiri au Akili, Usikute na wewe ni Teja aka Mtumiaji wa Bangi, anaye support huu Upuuzi sio Bure, akapimwe akili.
Hivi unajua nchi nyingi unywaji wa pombe ilikuwa kosa kisheria, katazo la kisheria hubadilika kulingana na research na mabadiliko ya kifikra
The law is not written in stones
 
tuna mazao mengi yanayozalisha kiuchumi why bangi? tukiruhusu bangi kulimwa kihoholela ni mwanzo wa kuharibu vijana wetu.
 
karibuni kilingen tupate kijiti maarifa!
hii yafaa uwe umeshiba na usiwe na stress uta enjoy mno.
IMG-20190401-WA0021.jpeg
 
Back
Top Bottom