von Meshak
Member
- Aug 20, 2014
- 12
- 3
"Viongozi Ukawa Wanakabiliwa & Ombwe La Mtindio Wa Elimu Uraia &Ukosefu Wa Uzalendo.Wanataka Matone Ya Damu Kama Kafara Kuingia Ikulu.Ni Vema Wajue,Gunia Tupu Halisimami Wima.Naasa Chadema Wawe Sikio Lenye Kupenda Kusikia Wasicho Penda Kusikia.
Nimeamua Kujiondoa Mwenyewe,Naomba Waandae Wagombea Ubunge Mashariki& Magaribi,Ili 2015 Tukutane Nao Uwanjani,Kwani Maswa Ina Wenyewe&Biashara ----- Lala Ilikwisha Zamani.
Ningeunga Mkono Maandamano Yenye Kudai Elimu Bora Nchini,Stahiki Za Afya,Ardhi Tengefu Ya Malisho,Uvuvi &Kilimo.Bei Thaminifu Ya Pamba& Mishahara Linganifu Ya wafanyakazi"
Nimeamua Kujiondoa Mwenyewe,Naomba Waandae Wagombea Ubunge Mashariki& Magaribi,Ili 2015 Tukutane Nao Uwanjani,Kwani Maswa Ina Wenyewe&Biashara ----- Lala Ilikwisha Zamani.
Ningeunga Mkono Maandamano Yenye Kudai Elimu Bora Nchini,Stahiki Za Afya,Ardhi Tengefu Ya Malisho,Uvuvi &Kilimo.Bei Thaminifu Ya Pamba& Mishahara Linganifu Ya wafanyakazi"