Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,642
- 6,071
Cdm ina takribani miaka ishirini na sidhani kama kuna dalili yoyote kuishinda ccm 2015
Ooh! Is umri a big deal here eeh! Wakoloni walisalimu amri kwa TANU na chama hicho kikaweza kupewa madaraka na kuongoza nchi kikiwa na miaka mingapi kweli vile. Kumbuka historia.