Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Hi Sweety Radhia una mchumba?
Huyu haulizwi kama ana mchumba maana usichana ulishamtoka siku nyingi! Ni ajuza wa miaka mingi sana!
Hi Sweety Radhia una mchumba?
Mkuu vipi yule kanda, Mkuu wa kampeni zenu igunga aliyekamatwa live anambemenda mke wa kada mwenzake mmemchukulia hatua gani ndani ya chama chenu?
Huyu haulizwi kama ana mchumba maana usichana ulishamtoka siku nyingi! Ni ajuza wa miaka mingi sana!
Wewe Aweda kwanza una kashfa ya kuingia Vingunguti kwa hongo. Halafu mwambie huyo bwanako Mbowe aache kuvuta bangi.
Aweda unaongea siasa ipi? Mbowe ni mmoja wa wavunja taratibu za chama; je mh. Mbowe alipojipa deal ya mamilioni ya pesa kuiuzia Chadema vifaa alifuata taratibu zipi chama? Wote tunajua anachajaribu ni kutaka kuwatisha watu wasimpinge katika suala la mwenyekiti; Mbowe na mashwahiba zake wanataka kuweka mtu atayelinda maslahi yao ili waendelelee kula RUZUKU (hongo kutoka kwa watawala).
Chama
Gongo la Mboto DSM.
Mambo ni mengi humu JF. Nisaidie kunielekeza ilipo hukumu hiyo ili niisome. Mimi humu najifunza tu siku zote.Mbona hapa mahakam kama vile imeshalifunga na kutoa jibu kwa swali lako?
Jiulizeni tu. Madiwani hawa walivunja kifungu kipi cha KATIBA ya CHADEMA au ya JMT kwa uamuzi wao wa kuunda serikali ya mseto na CCM pale Arusha?