Mbowe na genge lako mliomchukia hayati Magufuli, mtaanza kwenda kula krismasi mkipita juu ya daraja la wami ambalo mlidai ni megastructure ovyo

Ni jukumu la serikali kutoa huduma Kwa wananchi walipa Kodi, we dogo Kodi anayolioa Mbowe pengine hata 1/9 huifikii, majukumu ya serikali lawama ziwe Kwa Mbowe kijana wa hovyo kabisa wewe, inawezekana unatatizo la akili
Usimamizi wa rasilimali za umma ndio jambo la msingi.
 
ProMAGU VS AntiMAGU huu mpambano haujawahi kua wa kitoto. Watoto wa mzee huwaambii kitu juu ya mwamba, watesi wake wenyewe wanasema yule alikua kichaa hakupaswa hata kuongoza kijiji.

Mimi naangalia tu nmekaa pale muhudum niitie wa jikoni😄
 
Mlipayuka hovyo na kudai kuwa hayati JPM alipenda megastructure ambazo hazina msaada wowote.

Mlisahau kuwa dadaja la wami la sasa ni dogo na kiusalama lilikuwa halifai.

Leo mtaenda kula X mass huko kaskazini huku mkipita juu ya hilo daraja jipya mmekanyaga kibati 130km/hView attachment 2361027

Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika. Daraja ni fedha za wananchi sio za shetani yoyote.
 
Mlipayuka hovyo na kudai kuwa hayati JPM alipenda megastructure ambazo hazina msaada wowote.

Mlisahau kuwa dadaja la wami la sasa ni dogo na kiusalama lilikuwa halifai.

Leo mtaenda kula X mass huko kaskazini huku mkipita juu ya hilo daraja jipya mmekanyaga kibati 130km/hView attachment 2361027
Acha kuwasingizia daraja la kigongo ndio likionekana ni useless..

Mwendazake ni moja ya Marais wenye akili ndogo Sana,anajua kuharibu na kutumia ila kutafuta hajui..

Chini ya miaka 2 ,Rais Samia ataimaliza miradi yote bila stress zozote Wala kuharibu uchumi,ikumbukwe miradi ilianzishwa na Mwendazake hakuna uliokamilika hata stand alitoizindua ilikuwa Haujakamikika lakini Rais Samia Kwa mda mfupi kabisa ataimaliza yote kama ilivyopangwa kwa sababu kubwa anajua kutafuta pesa..
 
nyinyi watu wa huko mna roho mbaya tu hamtumiagi hata akili! Mara Magufuli alipendelea kwao mara vile! Vipi tawala zingine mbona hazikujenga hata kuboresha reli! Miguu kama spoku mafala sana
 
Back
Top Bottom