Mbowe na genge lako mliomchukia hayati Magufuli, mtaanza kwenda kula krismasi mkipita juu ya daraja la wami ambalo mlidai ni megastructure ovyo

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,086
6,568
Mlipayuka hovyo na kudai kuwa hayati JPM alipenda megastructure ambazo hazina msaada wowote.

Mlisahau kuwa dadaja la wami la sasa ni dogo na kiusalama lilikuwa halifai.

Leo mtaenda kula X mass huko kaskazini huku mkipita juu ya hilo daraja jipya mmekanyaga kibati 130km/h
20220918_211645.jpg
 
Mlipayuka hovyo na kudai kuwa hayati JPM alipenda megastructure ambazo hazina msaada wowote.

Mlisahau kuwa dadaja la wami la sasa ni dogo na kiusalama lilikuwa halifai.

Leo mtaenda kula X mass huko kaskazini huku mkipita juu ya hilo daraja jipya mmekanyaga kibati 130km/hView attachment 2361027
John Joseph Magufuli (PhD)
Kama unamchukia huyu mwamba bila shaka una matatizo makubwa sana

Wewe utakuwa unatumia kichwa aidha kufugia nywele au kubebea meno
 
Mlipayuka hovyo na kudai kuwa hayati JPM alipenda megastructure ambazo hazina msaada wowote.

Mlisahau kuwa dadaja la wami la sasa ni dogo na kiusalama lilikuwa halifai.

Leo mtaenda kula X mass huko kaskazini huku mkipita juu ya hilo daraja jipya mmekanyaga kibati 130km/hView attachment 2361027
Magufuli alijenga kwa hela ya mama yake? Kama kwao binafsi wangekua na uwezo kiasi cha kuwajengea watu madaraja wasingeshindia furu hebu wacheni upumbavu wenu.
 
Magufuli alijenga kwa hela ya mama yake? Kama kwao binafsi wangekua na uwezo kiasi cha kuwajengea watu madaraja wasingeshindia furu hebu wacheni upumbavu wenu.
Alijenga kwa hela ya mama yako anayolipa kodi. Alisimamia matumizi mazuri ya kodi zetu zikajenga daraja.
 
Mlipayuka hovyo na kudai kuwa hayati JPM alipenda megastructure ambazo hazina msaada wowote.

Mlisahau kuwa dadaja la wami la sasa ni dogo na kiusalama lilikuwa halifai.

Leo mtaenda kula X mass huko kaskazini huku mkipita juu ya hilo daraja jipya mmekanyaga kibati 130km/hView attachment 2361027
Ni jukumu la serikali kutoa huduma Kwa wananchi walipa Kodi, we dogo Kodi anayolioa Mbowe pengine hata 1/9 huifikii, majukumu ya serikali lawama ziwe Kwa Mbowe kijana wa hovyo kabisa wewe, inawezekana unatatizo la akili
 
Back
Top Bottom