Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
[h=6]Wilbrod Slaa
[/h][h=6]‎"Vyama vinapita lakini undugu wa Watanzania utaendelea kudumu milele. Kamwe itikadi za vyama zisitumike kutuchonganisha." Mh. Freeman Mbowe[/h]
siku hizi kidogo wameanza kuwa na akili, kama mlikuwa mnajua hivyo kwa nini mliwapeleka watu katika maandamano ya Arusha, leo ndio mnakuja kujua hayo kuwa vyama vitapita lakini undugu utaendelea, CUF walijua hivyo miaka 5 iliyopita.
We mbona unaongea km Mtatiro Julius, una undugu nae?.
siku hizi kidogo wameanza kuwa na akili, kama mlikuwa mnajua hivyo kwa nini mliwapeleka watu katika maandamano ya Arusha, leo ndio mnakuja kujua hayo kuwa vyama vitapita lakini undugu utaendelea, CUF walijua hivyo miaka 5 iliyopita.
hapo kwenye red kama una kamusi karibu na wewe itumie ikusaidie,wana wa israeli wakati wantoka utumwani Misri walitoka kwa maandamano hadi kanani kwa upendo na amani hivyo CDM inafanya,siku hizi kidogo wameanza kuwa na akili, kama mlikuwa mnajua hivyo kwa nini mliwapeleka watu katika maandamano ya Arusha, leo ndio mnakuja kujua hayo kuwa vyama vitapita lakini undugu utaendelea, CUF walijua hivyo miaka 5 iliyopita.