Serayamajimbo
Senior Member
- Apr 15, 2009
- 191
- 38
Mbowe amesema moja kwa moja bungeni leo kuwa serikali ni dhaifu, na hii ni serikali inayoongozwa na Kikwete
CDM ni wanafiki tunamwona Mdee asivyo na nidhamu kwa nini anatetea taarifa ambayo haikusahihishwa mezani kwanza, Zito kasema mapato ya TRA 0
Mbowe ashauri hata Bunge ni Legelege na livunjwe kura zirudiwe na nata Rais arudie hata km bbuu awamu ya 3
CDM ni wanafiki tunamwona Mdee asivyo na nidhamu kwa nini anatetea taarifa ambayo haikusahihishwa mezani kwanza, Zito kasema mapato ya TRA 0
Mbowe ashauri hata Bunge ni Legelege na livunjwe kura zirudiwe na nata Rais arudie hata km bbuu awamu ya 3
imeingia kwenye hansard kuwa ngeleja ana uchungu kufukuzwa uwaziri..!!?
Katika mchango wake juu ya bajeti, Kiongozi wa kambi ya Upinzani Bungeni Mh. Freeman Mbowe ameonyesha ukomavu mkubwa wa kisiasa.
Mbowe amemsihi Spika ajitahidi kuwa fair, amelaani lugha za kejeli na matusi, ame advocate dhana ya wajibu wa kikatiba wa upinzani kukosoa bajeti pamoja na kulaani kitendo cha viongozi kupongeza kitendo kisicho cha kistaarabu cha kuchana bajeti mbadala, amelaani kitendo cha serikali kuona fahari kuongeza deni la taifa ambapo asilimia kubwa inaelekezwa katika administrative aspects, ameionya serikali juu ya swala la kujiingiza kwenye mikataba isiyokua na tija katika taifa letu na hivyo kufanya taifa letu kuwa soko la bidhaa (hadi pini na vifungo) mfano mkataba wa World Trade Organization (WTO) na haya yote ameyadadavua precisely kwa muda wa dakika kumi tu!
Nadhani wabunge wanapaswa kufwata ukomavu kama huu na siyo kuweka itikadi za vyama vyao mbele!