ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,785
Kwa Hali ilivyo ni ngumu sana ccm kujichukulia hatua maana wizi wote huo wao ni wanufaika wa Moja kwa Moja.
Ndio maana hakuna hata mbunge mmja wa kuja na hoja binafsi japo ya kutunga sheria wa kuwafilisi wezi achilia mbali kuwanyonga.
Pili Wabunge wa ccm wanakosa maarifa,yaani wanachangia kama wanaiomba Serikali wakati katika Hali ya kawaida Serikali inatakiwa kulazimishwa na Ili kulazimishwa lazima waje na maazimio ya nini Cha kufanya na Kwa timeline.
Pia kama haijafanyika hivyo wamshinikize Waziri Mkuu kuachia ngazi so kukiwa na shinikizo Serikali watafanya vinginevyo ni taarabu.
Hiki anachoongea Tabasamu kimenifikirisha na kunisikitisha sana lakini hii approach ya kuomba Serikali haifai.Just imagine taarifa za CAG miaka 3 Iliyopita hazijafanyiwa kazi unategemea nini?
Ndio maana hakuna hata mbunge mmja wa kuja na hoja binafsi japo ya kutunga sheria wa kuwafilisi wezi achilia mbali kuwanyonga.
Pili Wabunge wa ccm wanakosa maarifa,yaani wanachangia kama wanaiomba Serikali wakati katika Hali ya kawaida Serikali inatakiwa kulazimishwa na Ili kulazimishwa lazima waje na maazimio ya nini Cha kufanya na Kwa timeline.
Pia kama haijafanyika hivyo wamshinikize Waziri Mkuu kuachia ngazi so kukiwa na shinikizo Serikali watafanya vinginevyo ni taarabu.
Hiki anachoongea Tabasamu kimenifikirisha na kunisikitisha sana lakini hii approach ya kuomba Serikali haifai.Just imagine taarifa za CAG miaka 3 Iliyopita hazijafanyiwa kazi unategemea nini?