Mbinu ya msichana wa kazi kuchakachuliwa..!!!

Kama hutaki kuchangia topic c ukae kmy?

Huo ndio mchango wangu. Si lazima uupende. Hata unayoandika wewe si wote wanafurahishwa nayo.
Na ndio maana hata majina tunatofautiana achilia mbali nyanja nyingine.
 
Mara nyingi wasichana wamekua wakifanya hivi kutokana na sie wazazi tunavyo wa treat,house girl nae ni binadamu anahitaji siku ya kupumzika at least ile siku hauendi kazini umpe off yake nae aende anakojua na arudi muda muafaka waschana wa siku hizi miaka 15 anajua kila kitu,ukimpa off yake once a week atajua aitumieje kama ana BF wake atenda kukonga moyo wake na atarudi muda alopangiwa,akiwa mlokole ataenda kanisani nk.usipofanya hivi iko siku piriton zikiisha anaweza kumfungia mtoto kwenye Freezer ukirudi unakuta kitoto kimekauka nae kaishia zake jumla,house girl ni mtu wa kuishi nae kama mwanano anaweza hata kukuua wewe na familia na akatokomea NA WASIJUE ALIPO,anaweza akatia hata sumu ndani ya chakula na mkirudi mnakula nyumba nzima wewe mumeo na watoto na kudhurika yeye huyo ametokomea,
 
Mara nyingi wasichana wamekua wakifanya hivi kutokana na sie wazazi tunavyo wa treat,house girl nae ni binadamu anahitaji siku ya kupumzika at least ile siku hauendi kazini umpe off yake nae aende anakojua na arudi muda muafaka waschana wa siku hizi miaka 15 anajua kila kitu,ukimpa off yake once a week atajua aitumieje kama ana BF wake atenda kukonga moyo wake na atarudi muda alopangiwa,akiwa mlokole ataenda kanisani nk.usipofanya hivi iko siku piriton zikiisha anaweza kumfungia mtoto kwenye Freezer ukirudi unakuta kitoto kimekauka nae kaishia zake jumla,house girl ni mtu wa kuishi nae kama mwanano anaweza hata kukuua wewe na familia na akatokomea NA WASIJUE ALIPO,anaweza akatia hata sumu ndani ya chakula na mkirudi mnakula nyumba nzima wewe mumeo na watoto na kudhurika yeye huyo ametokomea,

Halafu mimba na mtoto utalea wewe....?
 
Mara nyingi wasichana wamekua wakifanya hivi kutokana na sie wazazi tunavyo wa treat,house girl nae ni binadamu anahitaji siku ya kupumzika at least ile siku hauendi kazini umpe off yake nae aende anakojua na arudi muda muafaka waschana wa siku hizi miaka 15 anajua kila kitu,ukimpa off yake once a week atajua aitumieje kama ana BF wake atenda kukonga moyo wake na atarudi muda alopangiwa,akiwa mlokole ataenda kanisani nk.usipofanya hivi iko siku piriton zikiisha anaweza kumfungia mtoto kwenye Freezer ukirudi unakuta kitoto kimekauka nae kaishia zake jumla,house girl ni mtu wa kuishi nae kama mwanano anaweza hata kukuua wewe na familia na akatokomea NA WASIJUE ALIPO,anaweza akatia hata sumu ndani ya chakula na mkirudi mnakula nyumba nzima wewe mumeo na watoto na kudhurika yeye huyo ametokomea,

ikiwa mtoto wako anafikisha umri huo utakuwa unampa siku za kwenda kutembelea BF wake kwa vile yeye ni binadamu msichana wa kazi unamlinda/kumlea kama binti zako.
 
Swali ambalo najiuliza mpaka walipofikia hatua ya kugunda kuwa anamnywesha piriton huyo mtoto, Je huyu msichana wa kazi atakuwa amefanya hivyo mara ngapi mpaka walipokuja kugundua ni hatari sana namna hii
 
Mtoto wangu hawezi kumfungia mdogo wake kwenye freezer,kumbuka huyo si mwanao na umemchukua akiwa na umri umekomaa tuseme ni mdada kaacha watoto kwao kaja kwako kukufanyia kazi usipompa off day nakweleza atakufanyia hayo hata ukikataa ukweli,nilitolea mfano tu kua mabinti sikuhizi anajua mambo makubwa akiwa na umri mdogo,lakini to be honest ukimtreat housegirl wako bila kumpa off utayapata hayo na zaidi,yeye ni mtu mzima anajua madhara ya kubeba mimba kwa vile kwao kaacha watoto,akibeba obvious sheria ntakua nimempa anaondoka na mimba yake,lakini kumbana ki hivyo bila off itakula kwetu
 
Swali ambalo najiuliza mpaka walipofikia hatua ya kugunda kuwa anamnywesha piriton huyo mtoto, Je huyu msichana wa kazi atakuwa amefanya hivyo mara ngapi mpaka walipokuja kugundua ni hatari sana namna hii

Kwa huyu inaonekana ni kama miezi mitatu au minne hivi ndio kipindi ambacho hg alianza kuwa close sana na shoga yake(house girl wa jirani aliyempa mbinu) na ndicho kipindi mama mtoto alianza kutia shaka kwa kuwa kila akipiga simu kuuliza kama mtoto anasumbua akawa anaambiwa hasumbui,amekula na amelala!!!Lakini mama alikuwa anaona kama kuna utofauti kwa kuwa mwanae ni msumbufu kidogo hasa kulala yaani hadi umbembeleze sana,inawezekana hg ndio alianza kutumia short kati hiyo...!!
 
poor baby...

Inasikitisha duu!!roho ya kikatili..sasa piriton unampa mtoto mdogo jamaniii hee!!
Hawa watoto wetu ni Mungu tu ndo anawalinda mana hatujui wanafanyiwa mangapi
natamani niwe nambeba mgongoni naenda nae kazini..inatisha
 
Kwa huyu inaonekana ni kama miezi mitatu au minne hivi ndio kipindi ambacho hg alianza kuwa close sana na shoga yake(house girl wa jirani aliyempa mbinu) na ndicho kipindi mama mtoto alianza kutia shaka kwa kuwa kila akipiga simu kuuliza kama mtoto anasumbua akawa anaambiwa hasumbui,amekula na amelala!!!Lakini mama alikuwa anaona kama kuna utofauti kwa kuwa mwanae ni msumbufu kidogo hasa kulala yaani hadi umbembeleze sana,inawezekana hg ndio alianza kutumia short kati hiyo...!!
Namna hii hatari sana sasa siku ya siku amemuova dozi mtoto wa watu sijui ingekuwaje, mimi nafikiri cha msingi bora huyu mama ampe ruhusa huyu binti afanye mambo yake otherwise iko siku atakuta mtoto wake amekakamaa
 
Aisee hawa wadada watatumalizia wanetu, yaani kweli starehe zake anaona mali kuliko mtoto? Haf mbaya zaidi analipwa mshahara wakumlea mtoto!
 
Umaskini tu ndo unatusumbua,lakini kama zimekutembelea weka cctv kamera nyumba nzima ,picha zote tunza kwenye server kubwa na from time to time uwe unaipitia randomly,washenzi kama hg huyu utawakamata muda mfupi tu.
 
Pole sana kwa huyo dada aliyefanyiwa ubaya na dada wa kazi...amrudishe kwao huyo msichana wa kazi hafai kuendelea kuishi naye. Kama bado haujabahatika kutendwa na wasichana wa kazi mshukuru mungu lakin lisemwalo lipo na kama halipo basi laja jihadhari nalo.

Dada wa kazi ni sawa na binadanu yoyote yule ,wana mazuri yao na wana mapungufu yao kama tulivyo mimi na wewe.
Ni kweli kuwa kuna baadhi ya waaajiri wa wadada wa kazi wana watreat vibaya sana hao wasaidizi wa kazi, lakin pia
kuna baadhi ya waajiri wanaishi vizuri sana na wasichana wa kazi. Wanathamini uwepo wa mfanyakazi, wanampenda,wanamjali,wanamsilikiza,wanamfundisha,wanamwelekeza, anakuwa sehemu ya familia yao katika raha na shida.
Ukipata mfanyakazi mzuri mshukuru mungu na jitahidi kadri ya uwezo wako kuishi naye vizuri, lakin pia ukipata mfanyakazi mwenye tabia mbaya asiyerekebishika basi suluhisho ni kumwondoa tena kwa utaratibu mzuri,mrudishe mpaka nyumbani kwao kama ulivyomchukua usimfukuze kama mwizi hata kama kakufanyia vibaya...ipo siku ataukumbuka wema wako japo yeye alikufanyia ubaya.
Kwa jinsi tulivyo busy kutafuta pesa (kikazi au kibiashara) wasichana wa kazi ni watu muhimu sana majumbani mwetu, na ukipata msichana mzuri wa kazi unaweza usione shida sana kulea watoto wako,pia unaweza kupata kishawishi cha kuzaa watoto idadi unayopenda uwe nayo,,lakin kama haujabahatika msichana mzuri basi hata suala la kuzaa linaweza kukupa shida kidogo hasa ukifikiria kulea mtoto/watoto pamoja na majukumu mengine ya kazi.
Japo wasichana wa kazi ni wengi lakin wanaojitambua,thamini,penda kazi yao na kuwajibika ipasavyo ni wachache sana,,wengi wana nia na malengo mabaya kila waingiapo nyumbani kufanya kazi.
 
Haya mambo ya wafanyakazi mtu asipokuwa makini anawauwa nyumba nzima, pia kuwnyanyasa. kuwanyima chakula na mambo mengine mengi ya manyanyaso yanawafanya watumishi wafanye vitu mbaya
 
2000 mpaka 2008 nilipata msichana mzuri saaaaana wa kazi, kwa bahati nzuri hasa kwa upande wake alipata mchumba akaolewa sasa ni mke wa mtu,ila bado tunamawasiliano kati yetu.kipindi anaondoka familia yangu ilihuzunika sana kutokana na upendo aliokuwa nao kwetu.ukiwa na msichana mwema unatamani hata uzae chapchap kufikisha idadi ya watoto unaohitaji uwe nao ili wapate bahati ya kulelewa na dada mwema.

Jan-2009 nilipata msichana mwenye tabia mbaya mbaya mbaya mpaka nilijuta kuonana na yule msichana nilimrudisha kwao na kikao juu mbele ya wazazi wake,,nikamwambia ubaya alionifanyia mimi asidhani kama ananikomoa bali ni mbegu anayoipanda ,itaota na ipo siku ataivuna, mi nikaondoka. Hata sijui nini kilimpata kwani baada ya mwezi kupita alinipigia kuomba msamaha na kuomba kurudi tena kwangu lakin nilikataa katakata.

Nilitaka kukaa bila msichana wa kazi lakin nikalazimika kutafuta mwingine kutokana na kuhitajika kwa msichana nyumbani kwangu. May 2009 nilibahatika kupata mwingine ambaye ninaye mpaka hii leo namshukuru mungu kwani naamini amesikia maombi yangu nimepata anaejitambua na kujua majukumu yake ni nini.
Wakati mwingine natamani kuamini kuwa kupata msichana mzuri ni kama mchezo wa kubahatisha kuna kupata na kukosa.

Nimesimulia niliyopitia na wasichana wangu wa kazi ili kumtia moyo huyo mama alifanyiwa vibaya na huyo msichana wa
kazi, naamini ipo siku atapata msichana mwema wa kazi. Pole sana.
 
lol! imeniuma kweli kusikia hivyo, mimi nitampeleka mwanangu DAYCARE..wasichana sitawaweza jamani.
 
Back
Top Bottom