Mbinu gani mnatumia kumsahau mpenzi mlieachana?

Ni week ya tatu sasa kijana hanitoki kichwani jmn sielew Duuh natamani arudi au nimrudisheje nipeni connection za wataalam

Anyway nyiee mnatumia mbinu gani kumsahau mtu mlieachana ikiwa unampenda? Hatujazaa, hatujafanya maendeleo yoyot alikuwa mpenzi wa kawaida tu, ushauri jmn


Simple, consider him evil, unless wewe ndo umemkosea ba ni mwema inaweza kuwa ngumu, ila kama kazingua yeye, ona tu kama lijitu katili.
 
Ni week ya tatu sasa kijana hanitoki kichwani jmn sielew Duuh natamani arudi au nimrudisheje nipeni connection za wataalam

Anyway nyiee mnatumia mbinu gani kumsahau mtu mlieachana ikiwa unampenda? Hatujazaa, hatujafanya maendeleo yoyot alikuwa mpenzi wa kawaida tu, ushauri jmn
futa namba, futa picha, tafuta mwingine
 
Ni week ya tatu sasa kijana hanitoki kichwani jmn sielew Duuh natamani arudi au nimrudisheje nipeni connection za wataalam

Anyway nyiee mnatumia mbinu gani kumsahau mtu mlieachana ikiwa unampenda? Hatujazaa, hatujafanya maendeleo yoyot alikuwa mpenzi wa kawaida tu, ushauri jmn
Tafuta bilionea huyo faller utamsahau tuu
 
Ni week ya tatu sasa kijana hanitoki kichwani jmn sielew Duuh natamani arudi au nimrudisheje nipeni connection za wataalam

Anyway nyiee mnatumia mbinu gani kumsahau mtu mlieachana ikiwa unampenda? Hatujazaa, hatujafanya maendeleo yoyot alikuwa mpenzi wa kawaida tu, ushauri jmn
hiuo rahisi,nilidhani mlishafika nae mbali,amua kumsahau na mara zote,usikae bila kitu cha kufanya maana ubongo utaliwa unuwaza yeye tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni week ya tatu sasa kijana hanitoki kichwani jmn sielew Duuh natamani arudi au nimrudisheje nipeni connection za wataalam

Anyway nyiee mnatumia mbinu gani kumsahau mtu mlieachana ikiwa unampenda? Hatujazaa, hatujafanya maendeleo yoyot alikuwa mpenzi wa kawaida tu, ushauri jmn
Jipe muda tu mkuu utamsahau ila kama wewe ndie ulimkosea mkaachana jishushe na jaribu kumrudisha
 
Ni week ya tatu sasa kijana hanitoki kichwani jmn sielew Duuh natamani arudi au nimrudisheje nipeni connection za wataalam

Anyway nyiee mnatumia mbinu gani kumsahau mtu mlieachana ikiwa unampenda? Hatujazaa, hatujafanya maendeleo yoyot alikuwa mpenzi wa kawaida tu, ushauri jmn
Mapenzi huwa hayalazimishwi Hami22 haina haja ya kutumia mbinu yoyote kwa sababu hayo yanakuwa ni makubaliano ya watu wawili
 
Ingekua zamani humu wangekushauri vizuri na kitaalamu sasa ila Vijana wa sasa tegemea comments hz👇👇👇

Marketing strategy sijui tangazo limeeleweka na upuuzi mwngn mwingi wenye mtazamo huo

Wapo watakaoenda mbali zaidi na kudai ww ni dume utapata mashambulizi ya pande zote wakiongozwa na chizi maarifa

Na zinginezo
 
Ingekua zamani humu wangekushauri vizuri na kitaalamu sasa ila Vijana wa sasa tegemea comments hz👇👇👇

Marketing strategy sijui tangazo limeeleweka na upuuzi mwngn mwingi wenye mtazamo huo

Wapo watakaoenda mbali zaidi na kudai ww ni dume utapata mashambulizi ya pande zote wakiongozwa na chizi maarifa

Na zinginezo
Mwanangu Comment zako na avatar yako huwa vinanifurahisha sana
 
Back
Top Bottom