frankmshamimana
Member
- Feb 4, 2011
- 35
- 10
Mbeya Mpo wapi?
Mpaka wa Tanzania katika ramani yako sio sahihi!!
Wewe ni lazima ni mtu unaeshabikia kuwa ziwa Nyasa ni la Malawi, kwani utakuwa na ujasiri gani kutubandikia ramani isiyoonesha mpaka sahihi wa nchi yetu?
Wewe ni lazima ni mtu unaeshabikia kuwa ziwa Nyasa ni la Malawi, kwani utakuwa na ujasiri gani kutubandikia ramani isiyoonesha mpaka sahihi wa nchi yetu?
Mpaka wa Tanzania katika ramani yako sio sahihi!!
Atakuwa mdogo wake Joy huyu, ngoja nikae sawa ninyooke nae
Kaka taratibu usije ukaukana uraia wa Kenya kwa kunogewa na dada zetu wa Mbeya, akina mzee Kalembo, wa Kalembo bar ,wale wenye Nakuru Guest House na wengineo wengi walisema wamekuja mara moja na watarudi Kenya mara moja,mara ikawa wiki,miezi miaka,na sasa tunawazika hapa hapa Mbeya,chezea ugonile wewecompany company ya wale ndugu zetu ipo wapi....mbona mbeya hamjui kuwakarimu wageni????? Mr Able...hebu mwambie atugonile aje kunipokea...