ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,109
- 49,811
Kama haya mambo yanafanywa na watu wa Serikali kunyanyasa wengine basi Kuna haja ya Tume ya Kimahakama.
Kwa nini Baadhi ya Watumishi wa Umma na hasa Polisi Wanadhukumu Haki lakini hatua hazichukuliwi?
Inasikitisha sana na kuudhi,mnaojiita Wanyonge msipoungana kuwanyoosha hao watu mtakwisha.
View: https://youtu.be/Y0cWAc557bI?si=V4-o2nT9KTAtBIDS
My Take
Natumai Rais Samia anafuatilia kinachojiri huko kwenye ziara za Makonda,anajua Sasa watu wake walivyo.
Nashauri Serikali itoe amri ya Wakuu wa Mikoa na Wilaya kwenda kufuatilia kero za Watu na walete mrejesho wa utaguzi.Kidogo Huwa anajaribh kufanya Makala, Homera na RC wa Dar wengine hakuna wanachofanya.
Kwa nini Baadhi ya Watumishi wa Umma na hasa Polisi Wanadhukumu Haki lakini hatua hazichukuliwi?
Inasikitisha sana na kuudhi,mnaojiita Wanyonge msipoungana kuwanyoosha hao watu mtakwisha.
View: https://youtu.be/Y0cWAc557bI?si=V4-o2nT9KTAtBIDS
My Take
Natumai Rais Samia anafuatilia kinachojiri huko kwenye ziara za Makonda,anajua Sasa watu wake walivyo.
Nashauri Serikali itoe amri ya Wakuu wa Mikoa na Wilaya kwenda kufuatilia kero za Watu na walete mrejesho wa utaguzi.Kidogo Huwa anajaribh kufanya Makala, Homera na RC wa Dar wengine hakuna wanachofanya.