Mbatia pole sana, ulikuwa unafukuza mwizi huku umesahau kufunga mlango wako!

Sijaielewa

Hujaelewa hayo maneno mepesi tu ya ' Kiingereza ' hiko au ' Content ' yenyewe? Samahani huko Chuoni ulikopita ulisoma Somo la Philosophy? Kama ulilisoma nilichokiandika hapo nina uhakika hakiwezi kukusumbua kukielewa ila kama hukusoma ndiyo inaweza kuwa tatizo.
 
Wewe nae kila kitu huwa unajifanya unajua!
watu wengine bana

Nikuulize Wewe sasa kama unajua kuwa sijui kimekuwasha nini hadi ukaufuata huu ' uzi ' wa MWANAMUME? Halafu kwanini kujua kwangu vitu kwenu iwe ni tatizo? Hivi nimewashikeni miguu yenu au nimewashikieni hizo ' akili ' zenu msiwe Knowledgeable na informative kama nilivyo? Halafu nilidhani kuwa kama unaona GENTAMYCINE anakuudhi au anakukera basi ungeni ' block ' tu lakini kwa kitendo cha kuonyesha CHUKI zako / zenu Kwangu halafu bado mnafuatilia posts na threads zangu humu JF kila uchao ni kipimo dhahiri kuwa ' mnanipenda ' na hata kutamani kuwa na uwezo huu nilionao.
 
Hakuna Philosophy yoyote hapa,tatizo lako unadhani kila mtu anajua kilichotokea kwa Mbatia,huko NCCR,eti philosophy.

Nadhani hujaelewa nilichokiandika na nimemaanisha nini na ndiyo maana nikasema kama huna hata a,b,c's za Philosophy katika ' Mbichwa ' kama ulivyotudhihirishia Wewe lazima tu ' utapovuka ' na ' kukurupuka ' hivi. MWANAMUME aki post humu kitu uwe unatuliza kwanza ' mtima ' wako na ukielewe vizuri na unaweza kukuta hata nilichokimaanisha hapo sicho ambacho ' Puyuyu ' Wewe umekimaanisha.
 
Malipo ni hapa hapa duniani!

Yeye alimkashifu na alikuwa anafurahia sana ugonjwa wa mrema, sasa yamemkuta sijui atajinasua

Kwa ' mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.......liiiiiii ' Mkuu naona unaanza kuelewa nilichokiandika. Safi sana na huwa napenda Watu ' Werevu ' wa mfano wako na siyo ' Mipuyuyu ' mingine tuliyonayo humu ambayo Kazi yao ni ' kukurupuka ' tu.
 
Planned, well coordinated and now the mission has been ACCOMPLISHED.

Wengine mnapokuwa mnafukuza mwizi hakikisheni mnafunga kwanza milango yenu vizuri na kiumakini zaidi na si kuwa tu na 'kiherehere ' cha kufukuza mwizi ili uonekane Shujaa.


Mbona na wewe unakuwa chizi kama Zitto Kabwe? Una-quote vitu vya watu unashindwa kuwafafanulia wasomaji ama walengwa wako....usimuige Zitto, fanya vitu vya kueleweka si kutupotosha hapa.
 
Back
Top Bottom